Maajabu! Yesu na Musa waonekana mitaani Nairobi!

Maajabu! Yesu na Musa waonekana mitaani Nairobi!

Ujinga kiwango cha PhD hivi kinachowashtua ninini? Hamjawahi kuona watu wenye ndevu?

Weee vipi? Ujinga upi, ni jambo la kawaida kwa binadamu kuhoji pale anapomwona binadamu mwenzake kaibuka amevaa mavazi hajazoea kuyaona.
Kwa sababu wewe ni baadhi ya watu ambao huona ni ujinga kwamba Wafrika wenzako wakishangaa kitu, haya basi angalia kwenye hii link ambapo wazungu wanamshangaa pia 'The Jesus guy': Bearded man who has become familiar sight in Jerusalem wearing a robe and carrying a cross revealed to be a Detroit preacher | Daily Mail Online
 
Endelea tu we mkenya kuchekea Hao akina Yesu,they carried no mercy on your land
Subir anotha west gate ilipuliwe
 
Utani pembeni, hivi haya majitu ni akina nani na wana nia gani maana ghafla tunaona wazungu wanakatiza kitaa huku wana mandevu na kuvalia kiajabu ajabu, wanasababisha taharuki inafaa wahojiwe.
Wazungu washajua wakenya ni maboya wanataka muendelee kuwa abudu wao na kingereza chao
 
Wazungu washajua wakenya ni maboya wanataka muendelee kuwa abudu wao na kingereza chao

Na nyie Waarbu mnawaabudu na Kiswahili na dini yao pamoja na kwamba walibaka wazee wenu.
 
Na nyie Waarbu mnawaabudu na Kiswahili na dini yao pamoja na kwamba walibaka wazee wenu.
Akuna anaye shobokea mwarabu tz ndo mana tuliua askari wa gaddaf Uganda na kuwateka 800 hivi
 
Akuna anaye shobokea mwarabu tz ndo mana tuliua askari wa gaddaf Uganda na kuwateka 800 hivi

Kha.. kuanzia kwa jina 'Dar es Salaam' ambapo mumejazana nyote vyote vimekaa Kiarabu Arabu. Mila za desturi zote za kiarabu hadi hata kutumia vidole na maji kwenye kopo baada ya kunya vyote mumeiga kutoka kwa Waarabu.
 
Kha.. kuanzia kwa jina 'Dar es Salaam' ambapo mumejazana nyote vyote vimekaa Kiarabu Arabu. Mila za desturi zote za kiarabu hadi hata kutumia vidole na maji kwenye kopo baada ya kunya vyote mumeiga kutoka kwa Waarabu.
Hivi muarabu na mzungu nani anaialibu dunia kwa uonevu waarabu waliousika kutusumbua waafrica walikuwa watu binafsi siyo serikali zao zilizo watuma Africa aikuwa koloni la serikali za kiarabu. Acha urofa
 
hivi aliyewaambia kuwa yesu na musa walikuwa kama hao majamaa ni nani?
 
Jaman eeeh, nchi hiii imebarikiwa dah, leo masihi ameonekana anakatiza jijini,wengi tunazidi kushangaa tu[emoji120] [emoji119]
FB_IMG_1513867547512.jpg
 
Back
Top Bottom