Subiri tarehe 11/9/2020 endapo wawakilishi walioenguliwa hawatarejeshwaHakuna kitu wataishia kutishia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri tarehe 11/9/2020 endapo wawakilishi walioenguliwa hawatarejeshwaHakuna kitu wataishia kutishia
Balaa tupuSubiri tarehe 11/9/2020 endapo wawakilishi walioenguliwa hawatarejeshwa
MtangazajiAtatangazwa na nani?
Wa redio?Mtangazaji
hahahahaWazanzibari hawajawahi kuwa wajinga, hawaanza mara hii.
Wa redio?
Usiulize tena maswali ya kijinga!Atatangazwa na nani?
Mpuuzi mkubwaUsiulize tena maswali ya kijinga!
We ke ujifunze kuuliza maswali pia tambua utakacho uliza ndicho utakacho jibiwaMpuuzi mkubwa
Katiba ya ku-discriminate wazee ?, Au unaona wananchi hawana busara / akili ya kufahamu kwamba huyu anafaa au hafai hadi sheria ndio iwapangie wachague mtu wa umri ganiKwa hapa! Naanza kuuona umhimu wa katiba inayotangaza umri wa mtu kuwa kiongozi mkuu wa Taifa letu na umri ambao mtu akiufikisha hatakiwi kuomba nafasi hiyo
Akili ya vijana huona mbaaaali Sana Ila huwa mara nyingi Hekima Ndiyo huwa ni shida katika umri huo, lakini umri uliopita kwenye kufikiri Kwa haraka na kuchukua hatua ni mzigo makubwa mahala popote pale
Tunahitaji katiba
Anafurahia kuchukua form, wakati wabunge wameeshaenguliwa wote?!
Labda anagombea ili awe na cha kusema baadaye, maana asipokuwa mgombea hatokuwa na uwezo kulalamika.Mimi nashangaa hawa wazee wetu. Badala ya ku-address root causes ya tatizo wao wanacheza na dalili zake tu. Bila Tume mwisho wa dunia utafika bila kutoboa. Tangu 1995 ni hivi hivi. tena mwaka huu ni zaidi. Hata kupigiwa kura hawaruhusiwi.
Labda anagombea ili awe na cha kusema baadaye, maana asipokuwa mgombea hatokuwa na uwezo kulalamika.
Wanachezewa rough lakini wanabaki kutoa matamko tu, walipaswa wawe na jeshi la msituni, nao wakinukishe huko ccm, mkilia wote kunaweza kupatikana suluhu, lakini mnalia nyie tu, mnaonekana wajinga na wapuuzi.
Hana cha kusema ni blabla tu, labda ndivyo alikubaliana na Magufuli kwamba uwe unachangamsha uchaguzi ili wananchi wajitokeze kupiga kura.Umeona, wasu? Wanaambiwa msifanye siasa nao wanatii kwa miaka 5, wakati katiba ya nchi inaruhusu. Wanaishia kusema tu. Maalim Seif angekuwa na dhamira, mwaka wake ulikuwa 2015 wakati walipofuta matokeo ya uchaguzi. Watu walikuwa na huruma sana kwake. Na Shein wa watu alikwishakubali kuachia, akalazimishwa na akina Mkapa. Huo ndio ulikuwa muda mzuri wa kukianzisha. Na tena huko Zanzibar ana wafuasi kibao!
Dhuluma ya wazi kabisa wao wanalialia tu. Wangeweza kuji-organize vizuri, mwaka huu kusingekuwa na uchaguzi na mabadiliko makubwa yangefanyika. wanashindwa hata kushughulika na wasimamizi wa uchaguzi wahuni tunaoishi nao huku mitaani! Ngoja tumsikie baada ya kuchukuwa fomu atasema na atafanya nini.
Sasa huyu alisema tena kwa jazba kwamba hatagombea mpaka wale walioenguliwa Pemba warudishwe na endapo hawatarudishwa patachimbika swali jee wamesharudishwaMaalim Seif baada ya kuchezewa shere sana hatimaye 2020 hii anaingia ikulu ya Zanzibar.
Mbona mkoba haujanona au fomu zingine hazikuwekwa makusudi wamuengue?Mgombea wa Urais visiwani humo kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amefika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kwa ajili ya kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea
Maalim amesindikizwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Zanzibar Juma Duni Haji, Naibu Katibu Mkuu Mazrui Nassor na viongozi wengine
View attachment 1552867
View attachment 1552871
Mgombea wa Urais visiwani humo kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amefika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kwa ajili ya kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea Maalim amesindikizwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Zanzibar Juma Duni Haji, Naibu Katibu Mkuu Mazrui Nassor na viongozi wengine View attachment 1552867 View attachment 1552871