Maalim Seif akiri kuwepo kwa ubaguzi wa ajira Visiwani Zanzibar unaosababishwa na tofauti za kisiasa

Maalim Seif akiri kuwepo kwa ubaguzi wa ajira Visiwani Zanzibar unaosababishwa na tofauti za kisiasa

Muulize Tundu Lissu ilibidi amuamkie Maalim Seif Shikamoo..,

Siasa za vyama vingi vinaanza hakukua na Chadema wala mavi ya nini ni Maalim seif pekee aliweza kuunda chama cha CUF na akatengeneza strong opposition kule zanzibar ndio baadae na Tanganyika mkaja mkaamka.,
Well mmebakia na history tu lakini political capital ya CUF na ACT ishakufa na it's clear now kuwa opposition ipo moja tu. Na hata Mbowe akiamua kulift suspensions ya wawakilishi, watawaacha mbali sana in numbers. Losers mtabakia kiwa losers tu.

Btw hakukuwahi kuwa na chama cha upinzani Tanzania kilichopata walau 2 million votes in 3 consecutive elections kwa tume hii hii ya wizi. Meaning vyama vingine vyote vya msimu nje ya CHADEMA.
 
Acheni ukiritimba wa kuwapangia wazanzibari cha kufanya.,

Kiongozi wa kwanza wa kambi rasmi ya upinzani bungeni alitokea Pemba tena mwanamke kupitia chama cha Wananchi CUF Bibi Fatma Maghimbi uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi Tanzania., Chadema mlikuwa wapi?? Acheni kuwaongelea wapemba na wazanzibar hamuwawez
So what kama mlikua wa kwanza? Hoja ya ajabu kabisa hii. Kwanini hausemi Mbowe ndio KUB wa kwanza kuwa na wabunge 70+ wa chama chake?
Ama CUF mlikua wapi miaka yote mkashindwa kufikisha hiyo idadi?

Why usiseme CHADEMA ndio opposition ya kwanza kupata Halmashauri zaidi ya 20? Ama CUF mlikua wapi tokea vyama vingi vinaanza mnazidiwa na chama cha ''juzi''?

History masters my foot
 
Nachojaribu kukueleza ni Kwamba zinapokuja siasa za Tanzania CHADEMA ndio main opposition na ACT ipo reduced to the isles alone. Niambie chama gani ambacho walau kina wanachama/mashabiki kila mkoa zaidi ya CHADEMA? So taasisi kama hiyo huwezi sema inamtegemea Lissu kwenye struggle unlike CUF/ACT sio taasisi zinatembelea nguvu ya mtu mmoja tu ndio maana nasema leo Maalim akidondoka chama kimekufa.... Mark my words.

2. Unadhani succession itakuwaje? Jussa amuachie Mazrui? Ama Bimani amuachie Himid? ACT kama ingeweza kuenea nchi nzima ndio mngekua taasisi imara ila kwa mlivyo scattered mara Pemba, kusini alafu Ujiji sidhani kama mtafika kokote so kubali kataa CHADEMA is way ahead of your party na huu ni ukweli mchungu. Hata CUF iliwazidi influence kusini na defection hazikua nyingi tofauti na mlivyotarajia.

3.Unasema Maalim ameingia SUK kuna mategemeo alikua nayo. Ndio tunahoji kwanini hakuyatekeleza 2010-15 alipokua SUK ndio aje afanikiwe leo? Kama SUK ilifeli kufikia 2015 nini kinakufanya uamini mpaka 2025 mtakua intact? Hamuwezi rudia kitu kile kile ambacho kilifeli mkiamini sahvi kuna mabadiliko. Its insanity mkuu

4. Unadai kuna mpasuko CHADEMA, ni upi huo? Mbona kamati kuu unanimously waliwafuta uanachama na mpaka sasa sijaona opposition yoyote ya maamuzi kutoka kwa baraza!!? Embu tusaidia mgogoro gani huo, and to make records straight hao kina Halima walisema bado ni CHADEMA na hawaendi CCM so at least mpaka sasa bado ni opposition hayo ya kuwa ni CCM ni subjective.

NB: Lissu kumdrop Issa ni strategic tu sababu alihitaji kura za zenji from ACT lakini alijua fika bara atazoa za kutosha kuzidi Membe. So ni kheri asacrifice mkoa wenye kura laki 3 kuliko Bara kwenye kura million 28!! Otherwise nisaidie strategy gani mlitumia kupisha kura 28m za Urais ili mgombee kwenye kura 3 pekee? Then unakuja hapa kudai mna strategy? Hamkujua Membe ni pandikizi? Funny
Unachanganya mambo mkuu wewe unajibu in generally kumbuka mimi naongelea kwa upande wa Zanzibar haijawahi tokea Zanzibar opposition ikaongozwa ni chadema ila Tanganika tayari mara kadhaa CUF imekuwa ahead kuliko hiyo chadema ambayo ilikuja kuwa introduced baadae baada Maalim na wenzake kuanzisha chama cha cha Wananchi CUF na kama utakumbuka vizuri ni CUF peke yake ndio kwa mara ya kwanza wamekuwa na kambi ya upinzani katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tena alikuwa mwanamke akitokea pemba ambayo sasa waonyesha wazi kuidharau.

Theory yako kwamba maalim alifeli 2010-15 kwa SUK sawa, lakini kumbuka muda mfupi maalim kuingia kwenye SUK mara hii tayari tija imeanza kuonekana na kupatikana kwa wazanzibari na wazanzibari wenyewe wanasema sasa mambo sawa ni nyinyi watanganyika tu munaoishi bara chini ya Magufuli ndio munachukia hivyo hoja yako hii kwa wazanzibar it is good for nothing., maalim seif alikuwa analia na ubaguzi, alikuwa analia kwa watu kuumizwa kwenye haki zao za msingi, maalim alikuwa analia kwenye ajira, maalim alikuwa analia maendeleo makubwa kupelekwa unguja sasa haya yameonekana kukaa sawa automatically pamoja na kwamba maalim kaporwa ushindi mara kadhaa na dola lakini hakuwa na cha kufanya kama ambavyo Tundu lissu hakuwa na la kufanya huko Tanganyika ingawa alikuwa anapiga kelele kila kona hatakubali kuibiwa, hatakubali kuibiwa, hatakubali kuibiwa ingawa huko Tanganyika kama unavyodai kwamba muna wapiga kura zaidi ya milioni 28 lakini nothing you have done so far.,

Chadema kuna mpasuko mkubwa ata icho chama cha Wananchi CUF kilikuwa na afadhali by that time, ukitoa hao kina Halima mdee na wenzake, Makamo mwenyekiti wa Chadema Kule Zanzibar ni CCM na alikuwa akipigia kampeni wagombea wa CCM kwenye uchaguzi uliopita, yeye binafsi hakuwasikiliza viongozi wake kutaka kura za rais apigiwe maalim seif yeye akipiga kampeni ili awe rais yeye au angalau apate aslimia 5% ateuliwe uwaziri na serikali ya CCM Zanzibar, fomu yake ya kugombea urais zanzibar ililipiwa ni mgombea ubunge kupitia chama CCM, Kina Mbowe walipewa taarifa lakini hawakuwa na cha kufanya na hivi naandika bado huyu anakaa meza moja na Mbowe wakifanya maamuzi ya Kamati Kuu ya CHADEMA., Na sasa alikuwa akisema wazi wazi mimi Chadema wakinifukuza CCM watanaipa Ajira sina wasiwasi., wewe kwa kiasi hiki unataka mpasuko wa kiwango kipi tena CHADEMA???.,

Kama bara muna kura za kutosha na niza kuzoa tu kwa vile munaungwa mkono Mikoa mingi na asilimia kubwa ya Watanzania kwanini mumeshindwa kulinda haki yenu ya wapiga kura milioni 28., na kutaka watu laki 3 Zanzibar pamoja na maalim seif wasimame kuwatetea nyinyi huko Tanganyika., kama muna wapiga kura milioni 28 onyesheni mfano wa kudai haki zenu mulizoporwa kwenye uchaguzi halafu na Zanzibar wenye watu laki 3 watafuatia.

Mliitwa kwenye maandamo hamukutoka ata watu 3 kwenye milioni 28., so what?
 
Hoja yako ni nini hapa? Na cdm imeingiaje hapa?
CHADEMA mnajifanya top kwenye upinzani wakati sasa mnashindwa ata kulinda haki zenu chini ya wapiga kura wenu milioni 28 mnao dai walikupigieni kura 2020.,
 
So what kama mlikua wa kwanza? Hoja ya ajabu kabisa hii. Kwanini hausemi Mbowe ndio KUB wa kwanza kuwa na wabunge 70+ wa chama chake?
Ama CUF mlikua wapi miaka yote mkashindwa kufikisha hiyo idadi?

Why usiseme CHADEMA ndio opposition ya kwanza kupata Halmashauri zaidi ya 20? Ama CUF mlikua wapi tokea vyama vingi vinaanza mnazidiwa na chama cha ''juzi''?

History masters my foot
Wabunge 70 kwenye wapiga kura milioni 28 munaodai walikupigieni kura kuna tofauti gani ya wabunge 23 kutoka Zanzibar kwenye wapiga kura laki 3??
 
Well mmebakia na history tu lakini political capital ya CUF na ACT ishakufa na it's clear now kuwa opposition ipo moja tu. Na hata Mbowe akiamua kulift suspensions ya wawakilishi, watawaacha mbali sana in numbers. Losers mtabakia kiwa losers tu.

Btw hakukuwahi kuwa na chama cha upinzani Tanzania kilichopata walau 2 million votes in 3 consecutive elections kwa tume hii hii ya wizi. Meaning vyama vingine vyote vya msimu nje ya CHADEMA.
Angeweka mgombea urais Zanzibar basi ili aje awe rais Zanzibar kwanini mlimpigia kura maalim seif
 
Chadema mnajifanya top kwenye upinzani wakati sasa mnashindwa ata kulinda haki zenu chini ya wapiga kura wenu milioni 28 mnao dai walikupigieni kura 2020.,

Honestly nashindwa kuona hoja yako ni ipi hapa, sana sana naona unataka kuleta ubishani wa kitoto.
 
Mwambieni huo mfumo upo Tanzania bara kwenye ajira za ualimi lakini Cha kushangaza wanaoajiriwa NI UVCCM na waliohonga pesa huko TAMISEMI
 
wabunge 70 kwenye wapiga kura milioni 28 munaodai walikupigieni kura kuna tofauti gani ya wabunge 23 kutoka Zanzibar kwenye wapiga kura laki 3??
Unafurahisha sana.... Nyie majimbo yenu yana wapiga kura elfu 5 mpaka elfu 10 maximum. Ila jimbo moja tu la Kibamba au Ubungu lina kura mpaka laki 2 sasa tukienda kwa proportion unadhani ACT ingekua na wabunge wangapi kma kila jimbo zenji liwe na kura kuanzia elfu 50!!

No wonder licha ya kuporwa majimbo yote ila wamepata viti 20!! Just imagine. Sababu cumulative number ya kura zao ni mara 100 ya mlizopata ACT. Na ndio maana hamjaambulia hata kiti kimoja maalum sababu kura laki 3 hazina lolote mbele ya pool ya kura million 28 za bara!!

Kajifunze hesabu kijana
 
Angeweka mgombea urais zanzibar basi ili aje awe rais Zanzibar kwanini mlimpigia kura maalim seif
Kura laki 3 pekee haikua worth it !! Afterall akishinda kawe na mbagala anazidi kura zote za ACT Zenji ssa Why msuguano kwa kura kiduchu hivo.

So ni bora alliance tu, ila ingekua zenji ina kura say million 5 trust me hakuna angewaachia zote hizo. Afterall ACT haina uwezo wa kushinda jimbo lolote bara kama CHADEMA wakisimamisha mgombea so nyie mliihitaji zaidi CHADEMA kuliko wao afterall hawakuwa na chakupoteza kisa kura laki 3!!

Come on
 
Naona umekaziaaaa upande wa kisiasa na kidin bado Sana kma kupanga nyumba kaz kwa christian
Wazanzibar waanze kujikomboa kifikra.wanamkumbatia mtu ambaye mawazo yake ni mgando.wapemba amkeni na kuweni macho na huyo mtu.
 
Hilo neno waache waseme wazanzibari wenyewe sio wewe Mtanganyika, kwanini munawashwa na pilipili musioila?
Ndio mana Watanganyika munafeli sana Tundu Lissu yuko ulaya anawaongoza kwa clip za Yotube
Wazanzibari wamefeli moja kwa moja na wamebaki kuchapa maneno tu
 
Unachanganya mambo mkuu wewe unajibu in generally kumbuka mimi naongelea kwa upande wa Zanzibar haijawahi tokea Zanzibar opposition ikaongozwa ni chadema ila Tanganika tayari mara kadhaa CUF imekuwa ahead kuliko hiyo chadema ambayo ilikuja kuwa introduced baadae baada Maalim na wenzake kuanzisha chama cha cha Wananchi CUF na kama utakumbuka vizuri ni CUF peke yake ndio kwa mara ya kwanza wamekuwa na kambi ya upinzani katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tena alikuwa mwanamke akitokea pemba ambayo sasa waonyesha wazi kuidharau.

Theory yako kwamba maalim alifeli 2010-15 kwa SUK sawa, lakini kumbuka muda mfupi maalim kuingia kwenye SUK mara hii tayari tija imeanza kuonekana na kupatikana kwa wazanzibari na wazanzibari wenyewe wanasema sasa mambo sawa ni nyinyi watanganyika tu munaoishi bara chini ya Magufuli ndio munachukia hivyo hoja yako hii kwa wazanzibar it is good for nothing., maalim seif alikuwa analia na ubaguzi, alikuwa analia kwa watu kuumizwa kwenye haki zao za msingi, maalim alikuwa analia kwenye ajira, maalim alikuwa analia maendeleo makubwa kupelekwa unguja sasa haya yameonekana kukaa sawa automatically pamoja na kwamba maalim kaporwa ushindi mara kadhaa na dola lakini hakuwa na cha kufanya kama ambavyo Tundu lissu hakuwa na la kufanya huko Tanganyika ingawa alikuwa anapiga kelele kila kona hatakubali kuibiwa, hatakubali kuibiwa, hatakubali kuibiwa ingawa huko Tanganyika kama unavyodai kwamba muna wapiga kura zaidi ya milioni 28 lakini nothing you have done so far.,

Chadema kuna mpasuko mkubwa ata icho chama cha Wananchi CUF kilikuwa na afadhali by that time, ukitoa hao kina Halima mdee na wenzake, Makamo mwenyekiti wa Chadema Kule Zanzibar ni CCM na alikuwa akipigia kampeni wagombea wa CCM kwenye uchaguzi uliopita, yeye binafsi hakuwasikiliza viongozi wake kutaka kura za rais apigiwe maalim seif yeye akipiga kampeni ili awe rais yeye au angalau apate aslimia 5% ateuliwe uwaziri na serikali ya CCM Zanzibar, fomu yake ya kugombea urais zanzibar ililipiwa ni mgombea ubunge kupitia chama CCM, Kina Mbowe walipewa taarifa lakini hawakuwa na cha kufanya na hivi naandika bado huyu anakaa meza moja na Mbowe wakifanya maamuzi ya Kamati Kuu ya CHADEMA., Na sasa alikuwa akisema wazi wazi mimi Chadema wakinifukuza CCM watanaipa Ajira sina wasiwasi., wewe kwa kiasi hiki unataka mpasuko wa kiwango kipi tena CHADEMA???.,

Kama bara muna kura za kutosha na niza kuzoa tu kwa vile munaungwa mkono Mikoa mingi na asilimia kubwa ya Watanzania kwanini mumeshindwa kulinda haki yenu ya wapiga kura milioni 28., na kutaka watu laki 3 Zanzibar pamoja na maalim seif wasimame kuwatetea nyinyi huko Tanganyika., kama muna wapiga kura milioni 28 onyesheni mfano wa kudai haki zenu mulizoporwa kwenye uchaguzi halafu na Zanzibar wenye watu laki 3 watafuatia.

Mliitwa kwenye maandamo hamukutoka ata watu 3 kwenye milioni 28., so what?
1.Na shida yako inaanzia hapa. Unataka kuseparate Zanzibar na Tanganyika. Ni hivi CHADEMA ipo Tanzania na ACT ipo Tanzania so vinapaswa vigombee nchi ya Tanzania hakuna chama ambacho kimepewa hati ya kuwa zanzibar pekee. So tuki judge performance ya ACT tutafika hadi Geita na Mpanda hatuwezi ishia wete alafu tukawasifia tu.

2. Mkuu hujajibu swali kama ilifeli 2010-15 unadhani mtafika 2025 mkiwa intact? Je CCM ya 2010 imebadilika au ni ile ile? Maana mnavyoisifia hapa ni kana kwamba sahivi imekua fair kuliko chaguzi zilizopita!! This is so weird

3. Huo mpasuko CHADEMA ukwapi? Wa Issa Mohammed ndio utakua mpasuko? Let's be serious.... Yule kawekwa pale kutimiza tu masharti ya muungano kma tu Mama Samia ila haimaanishi akitoka leo hii CHADEMA itatetereka. Mpasuko wa CUF ulikiua kabisa ila imagine Dk.Slaa, Dk. Mashinji, Lwakatare, Zitto hao wote walitoka ila chama ndio kwanza kimeimarika ndio sembuse kina Mdee. Get real. Hoja ni kwamba kimejengwa kitaasisi ila nyie ni individuals tu ndio maana leo Seif akihamia CCM wote mtamfuata. Sasa hiko ni chama au kijiwe?
 
Ungeweza kuwa na hoja ila hapo mwishoni umekosea. Revolutionaries wengi tu wameongoza mapambano wakiwa mbali na homeland. Hta kina Mohammed Badie walianzisha vuguvugu la misri akiwa bado Marekani.

Hta Kagame alisuka mipango ya kupindua Rwanda akiwa Marekani, Kabila alikua Tz, Wamba Dia Wamba alitoa command akiwa mikocheni alafu unaongelea clip za youtube?

Huyo Maalim wenu alipoporwa uchaguzi hakwenda kwa mnaoita mabeberu kudai haki yake? Ila Leo mwenzenu akiondoka for security concerns mnaanza kejeli.

Siku Maalim anadondoka kwa uzee, nakuapia hapa ndio mwisho wa ACT.
Hiyo ACT Wazalendo iko mguu moja ndani moja nje.Likafu limeingia migogoro wakashindwa kulinusuru.
 
1.Na shida yako inaanzia hapa. Unataka kuseparate Zanzibar na Tanganyika. Ni hivi CHADEMA ipo Tanzania na ACT ipo Tanzania so vinapaswa vigombee nchi ya Tanzania hakuna chama ambacho kimepewa hati ya kuwa zanzibar pekee. So tuki judge performance ya ACT tutafika hadi Geita na Mpanda hatuwezi ishia wete alafu tukawasifia tu.

2. Mkuu hujajibu swali kama ilifeli 2010-15 unadhani mtafika 2025 mkiwa intact? Je CCM ya 2010 imebadilika au ni ile ile? Maana mnavyoisifia hapa ni kana kwamba sahivi imekua fair kuliko chaguzi zilizopita!! This is so weird

3. Huo mpasuko CHADEMA ukwapi? Wa Issa Mohammed ndio utakua mpasuko? Let's be serious.... Yule kawekwa pale kutimiza tu masharti ya muungano kma tu Mama Samia ila haimaanishi akitoka leo hii CHADEMA itatetereka. Mpasuko wa CUF ulikiua kabisa ila imagine Dk.Slaa, Dk. Mashinji, Lwakatare, Zitto hao wote walitoka ila chama ndio kwanza kimeimarika ndio sembuse kina Mdee. Get real. Hoja ni kwamba kimejengwa kitaasisi ila nyie ni individuals tu ndio maana leo Seif akihamia CCM wote mtamfuata. Sasa hiko ni chama au kijiwe?
Hilo swali la pili akikujibu nitag
 
1.Na shida yako inaanzia hapa. Unataka kuseparate Zanzibar na Tanganyika. Ni hivi CHADEMA ipo Tanzania na ACT ipo Tanzania so vinapaswa vigombee nchi ya Tanzania hakuna chama ambacho kimepewa hati ya kuwa zanzibar pekee. So tuki judge performance ya ACT tutafika hadi Geita na Mpanda hatuwezi ishia wete alafu tukawasifia tu.

2. Mkuu hujajibu swali kama ilifeli 2010-15 unadhani mtafika 2025 mkiwa intact? Je CCM ya 2010 imebadilika au ni ile ile? Maana mnavyoisifia hapa ni kana kwamba sahivi imekua fair kuliko chaguzi zilizopita!! This is so weird

3. Huo mpasuko CHADEMA ukwapi? Wa Issa Mohammed ndio utakua mpasuko? Let's be serious.... Yule kawekwa pale kutimiza tu masharti ya muungano kma tu Mama Samia ila haimaanishi akitoka leo hii CHADEMA itatetereka. Mpasuko wa CUF ulikiua kabisa ila imagine Dk.Slaa, Dk. Mashinji, Lwakatare, Zitto hao wote walitoka ila chama ndio kwanza kimeimarika ndio sembuse kina Mdee. Get real. Hoja ni kwamba kimejengwa kitaasisi ila nyie ni individuals tu ndio maana leo Seif akihamia CCM wote mtamfuata. Sasa hiko ni chama au kijiwe?
Kama Makamo Mwenyekiti wa Chama kukisaliti chama chake sio mpasuko sasa mimi bora nifunge mjadala, nyinyi watu ni " hardheaded"

Chadema ata iwe inawakilisha nchi 3 usajili wake, kwa Zanzibar chadema haiwezi kuwa na nguvu yeyote forever, ni afadhali kwa hicho chama cha CUF kiliwahi kuwa na Wabunge wa JMT wapato 12, mpaka leo Chadema zanzibar haijawahi kuwa na mbunge wa kuchaguliwa ata diwani haijawahi kutokea. Bado ACT na CUF ndio vyama vya upinzani vinavyowakilisha zaidi nchi 2 huko Tanganyika na kule Zanzibar. Wewe fanya tathmini utagundua.

Ikiwa Wazanzibari wenyewe wako kimya na wanaendelea maisha yao kule vizuri kwa serikali yao ya Kitaifa wewe mtanganyika unaumia nini? Zanzibar ndio kitovu cha siasa ya upinzani Tanzania na ina watu more intelligent then Tanganyika waache wenyewe wakiona SUK haifai watasema tu.,

Kwanini uko kimya na idadi yenu ya wapiga kura milioni 28 lakini mumeibiwa uchaguzi?
 
Kura laki 3 pekee haikua worth it !! Afterall akishinda kawe na mbagala anazidi kura zote za ACT Zenji ssa Why msuguano kwa kura kiduchu hivo.

So ni bora alliance tu, ila ingekua zenji ina kura say million 5 trust me hakuna angewaachia zote hizo. Afterall ACT haina uwezo wa kushinda jimbo lolote bara kama CHADEMA wakisimamisha mgombea so nyie mliihitaji zaidi CHADEMA kuliko wao afterall hawakuwa na chakupoteza kisa kura laki 3!!

Come on
How many times CUF chini ya Mallim seif imekuwa ikishinda majimbo huko kwenu unyamwezini? 2015 wabunge 12 wa kuchaguliwa

Kama zanzibar ina wapiga kura laki 3 na hamna haja nazo kwanini kule zanzibar muna matawi na ofisi na viongozi mpaka Makamo mwenyekiti wa chama anatokea kule na mnawalipa mishahara minono? kwanini?? Are you sure huna haja ya kura laki 3? Haingii akilini
 
Unafurahisha sana.... Nyie majimbo yenu yana wapiga kura elfu 5 mpaka elfu 10 maximum. Ila jimbo moja tu la Kibamba au Ubungu lina kura mpaka laki 2 sasa tukienda kwa proportion unadhani ACT ingekua na wabunge wangapi kma kila jimbo zenji liwe na kura kuanzia elfu 50!!

No wonder licha ya kuporwa majimbo yote ila wamepata viti 20!! Just imagine. Sababu cumulative number ya kura zao ni mara 100 ya mlizopata ACT. Na ndio maana hamjaambulia hata kiti kimoja maalum sababu kura laki 3 hazina lolote mbele ya pool ya kura million 28 za bara!!

Kajifunze hesabu kijana
Idadi ya watu haiwezi kumata mkuu., muhimu ni average ya wakaazi wa nchi husika, ivi waweza linganisha Tanzania na Marekani, Algeria au China hii haina uhusiano wowote, cha msingi ni namba ya watu wanaoishi katika hilo eneo/nchi.

Mbunge anaewakilisha watu elfu 5 kwenye jimbo zanzibar ni sawa na mbunge anaewakilisha watu 15,000 kule unyamwezini bara, au umewahi sikia Ndugai analipa mishahara tofauti pale bungeni? hii huwezi kulaumu ndio maumbile ya Mungu alivyojaalia hakutuumba idadi sawa ya watu kila nchi na eneo.
 
Back
Top Bottom