Unachanganya mambo mkuu wewe unajibu in generally kumbuka mimi naongelea kwa upande wa Zanzibar haijawahi tokea Zanzibar opposition ikaongozwa ni chadema ila Tanganika tayari mara kadhaa CUF imekuwa ahead kuliko hiyo chadema ambayo ilikuja kuwa introduced baadae baada Maalim na wenzake kuanzisha chama cha cha Wananchi CUF na kama utakumbuka vizuri ni CUF peke yake ndio kwa mara ya kwanza wamekuwa na kambi ya upinzani katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tena alikuwa mwanamke akitokea pemba ambayo sasa waonyesha wazi kuidharau.
Theory yako kwamba maalim alifeli 2010-15 kwa SUK sawa, lakini kumbuka muda mfupi maalim kuingia kwenye SUK mara hii tayari tija imeanza kuonekana na kupatikana kwa wazanzibari na wazanzibari wenyewe wanasema sasa mambo sawa ni nyinyi watanganyika tu munaoishi bara chini ya Magufuli ndio munachukia hivyo hoja yako hii kwa wazanzibar it is good for nothing., maalim seif alikuwa analia na ubaguzi, alikuwa analia kwa watu kuumizwa kwenye haki zao za msingi, maalim alikuwa analia kwenye ajira, maalim alikuwa analia maendeleo makubwa kupelekwa unguja sasa haya yameonekana kukaa sawa automatically pamoja na kwamba maalim kaporwa ushindi mara kadhaa na dola lakini hakuwa na cha kufanya kama ambavyo Tundu lissu hakuwa na la kufanya huko Tanganyika ingawa alikuwa anapiga kelele kila kona hatakubali kuibiwa, hatakubali kuibiwa, hatakubali kuibiwa ingawa huko Tanganyika kama unavyodai kwamba muna wapiga kura zaidi ya milioni 28 lakini nothing you have done so far.,
Chadema kuna mpasuko mkubwa ata icho chama cha Wananchi CUF kilikuwa na afadhali by that time, ukitoa hao kina Halima mdee na wenzake, Makamo mwenyekiti wa Chadema Kule Zanzibar ni CCM na alikuwa akipigia kampeni wagombea wa CCM kwenye uchaguzi uliopita, yeye binafsi hakuwasikiliza viongozi wake kutaka kura za rais apigiwe maalim seif yeye akipiga kampeni ili awe rais yeye au angalau apate aslimia 5% ateuliwe uwaziri na serikali ya CCM Zanzibar, fomu yake ya kugombea urais zanzibar ililipiwa ni mgombea ubunge kupitia chama CCM, Kina Mbowe walipewa taarifa lakini hawakuwa na cha kufanya na hivi naandika bado huyu anakaa meza moja na Mbowe wakifanya maamuzi ya Kamati Kuu ya CHADEMA., Na sasa alikuwa akisema wazi wazi mimi Chadema wakinifukuza CCM watanaipa Ajira sina wasiwasi., wewe kwa kiasi hiki unataka mpasuko wa kiwango kipi tena CHADEMA???.,
Kama bara muna kura za kutosha na niza kuzoa tu kwa vile munaungwa mkono Mikoa mingi na asilimia kubwa ya Watanzania kwanini mumeshindwa kulinda haki yenu ya wapiga kura milioni 28., na kutaka watu laki 3 Zanzibar pamoja na maalim seif wasimame kuwatetea nyinyi huko Tanganyika., kama muna wapiga kura milioni 28 onyesheni mfano wa kudai haki zenu mulizoporwa kwenye uchaguzi halafu na Zanzibar wenye watu laki 3 watafuatia.
Mliitwa kwenye maandamo hamukutoka ata watu 3 kwenye milioni 28., so what?