Zanzibar 2020 Maalim Seif ametakiwa kufika katika Kamati ya maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar kujibu tuhuma za kukiuka maadili ya uchaguzi

Aliyetangaza ni tume 27 na 28 na time haijakataza watu wote kwenda, hizi sasa ni adhabu za sekondari za kung'oa visiki.
 
Ya sita ingekuwa; " Nileteeni Gwaa" na yeye chini!
 
Baraza la wawakilishi lilikuwa batili na sheria ni batili. Umeona wapi kuwa na makamo wa pili wa raisi bila ya kuwa na wa kwanza? Wewe mtu akimtafuna mke wako utaendelea kukaa nae tu kwa vile unaogopa jamaa atakuwa anmla freely?

The whole point Maalim hakuweza kushiriki kwenye uchaguzi batili. Kukubali kushiriki kwake kunge legitimize uharamia wa Jecha na waliomtuma.
 
Kwa mini wanapiga siku mbili wakuu.?
Hata mimi nashangazwa na hilo. Eti nasikia upugaji wa tarehe 27 utahusisha makundi yote yatakayohusika kusimia uchaguzi wa Oktoba 28. Kinachoshangaza kama kweli hio ndio sababu kuu kwa nini zoezi hilo halifanyiki Tanzania bara? Itakuwaje nchi yenye watu wanaokaribia milioni 60 waweze kujipanga na kila mtu kuweza kupiga kura siku moja, lakini nchini (nchi mkoa) yenye watu 700,000 wahitaji siku mbili? Pia mtu anafaa ajiulize ni kwa nini mfumo huu uwe kwa mara hii tu? Kwa nini haukuwa ukifanywa huko nyuma? Nahisi kuna watu wanataka kurusha changa la macho tu!
 
Kwa nini CCM ambacho ndio kinachoongoza zanzibar hakilalamikii juu ya hili na badala yake chama cha demekraisa halisi ambacho ndio kinachokimbilia kulalamika? Tena hii sio mara yao ya mwanzo, why?
 
Hawafiki milioni 2 hata watoto wachanga pia wakihesabiwa. Wapigakura ni 500,000 tu.
Mkuu vipi? Uliona wapi watu milioni 2 wakapige kura siku mbili ilihali milioni 29 wanapiga siku moja? Tume ndio iache utata na utoto kwanza.
 
Mbinu ya wizi wa kura mchana kweupeee.Wasimamizi na walinzi wa kura za mapema ni kina nani?Hapo ndipo Mh.Maalim Seif anakotakiwa kusimamia kwa miguu yake yote na wananchi wanatakiwa kumuunga mkono.Nani alishauri hili suala la siku mbili za kupiga kura Zanzibar na kwa manufaa ya nani?
Kwa mini wanapiga siku mbili wakuu.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…