Ni kwasababu unaemuongelea humfahamu, unamjua kwa jina tu!Usitufokee jombi. Kila mtu anaufahamu wake.
Ndipo dhana ya kukubali kutokubaliana inapokuja.
Kama tunavyotambua uwepo wao hata walio mashimoni.
Ni kwasababu unaemuongelea humfahamu, unamjua kwa jina tu!
Dhana ya kukubali kutokubaliana ni imara sana.
Apewe muda Maalim Seif inaweza kuwa mapema mno kumhukumu. Utenzi huu una husika:
View attachment 1650288
View attachment 1650289
Yote hii tokea kwenye uzi huu:
Maalim Kuridhia huu uhalisia (Shairi)
Mabibi na mabwana Maalim karidhia serikali ya umoja wa kitaifa. Pamoja na yote Maalim si wa kubeza. Karibuni kwenye mwendelezo wa tungo hizi waungwana: Ninaamini Seif kaipigania Zanzibar mara zote katika namna ambayo hawapo wazanzibari wanaoweza kujinasibu zaidi yake. Asili ya uzi huu...www.jamiiforums.com
Huko unakokwenda ni mbali sana, naona umeingia wivu basi tufanye wewe ndio mkewe! Vipi umeridhika? Au umekasirika kuwa nimemuongelea vibaya basha wako?Ni kwa sababu unadhani kuwa na hati miliki ya kumfahamu. Au wewe ni mkewe?
Unafiki Mkuu ni kitu kibaya sana.
Mkuu ninakusoma kama nilivyomsoma bwana kunguru :
View attachment 1650298
kwenye uzi huu:
Maalim Kuridhia huu uhalisia (Shairi)
Mabibi na mabwana Maalim karidhia serikali ya umoja wa kitaifa. Pamoja na yote Maalim si wa kubeza. Karibuni kwenye mwendelezo wa tungo hizi waungwana: Ninaamini Seif kaipigania Zanzibar mara zote katika namna ambayo hawapo wazanzibari wanaoweza kujinasibu zaidi yake. Asili ya uzi huu...www.jamiiforums.com
Kukubali kutokubaliana ni mwanzo mkubwa sana wa kheri.
Mkuu utaona rangi za Maalim za kuweka mbele maslahi yake badala ya yale ya Nchi na kuikana kauli yake. Hana jipya huyu zaidi ya kutunisha bank accounts zake.
Mkuu ninakuelewa kuumia kwako. Bila shaka wengi wetu ni hivyo hivyo. Tumpe muda. Muda huwa mwalimu mzuri. Kuisaliti Zanzibar bado namwona kuwa mtu wa mwisho kufanya hivyo.
Historia yake huyu Mkuu kwenye kusimamia maslahi ya Nchi ina mushkeli ndiyo sababu sitegemei abadilike na kapewa masharti ya kulinda wadhifa wake mpya, vinginevyo wanamtosa. Kama angekuwa si msaliti angeweka hadharani malengo yake kwa miaka hii mitano wakati akiwa meza moja na wauaji. Ukweli ni kwamba hana lengo hata moja zaidi ya kuufurahia UNGUNGE.
Kama ulichoandika hapa ndio dhana ya Seif kujiunga SUK, basi ki mantiki huo muunganiko wa ACT na CCM kwenye hiyo serikali unakosa maana, kwasababu inaonekana wazi hawakujiunga kwa utashi wao bali kwa uoga wa matendo ya kinyama waliyofanyiwa viongozi na wafuasi wao na jeshi la polisi.Mkuu BAK heshima kwako. Kwa nini Seif aliamua kusitisha kukinukisha hadi mwisho?
Jibu ni hili hapa chini:
Seif alishuhudia kwa macho yake kipigo walichopata kina Jussa, Mazrui na wenzao walipokuwa wamekamatwa. Wakiwa hawajaonyesha resistance yoyote kwenye kukamatwa kwao. Hii achilia mbali wale waliouawa.
Seif aliiona police brutality in real sense, ambayo kwa maneno yake alitamka kuwa hakuwahi kuona udhalimu kama ule.
Seif hakupigwa lakini kwa kuchelea madhara zaidi kwa watu waje kwa wakati ule aliiona "it was not worth it."
Hii ni kama ya yule mama mwenye mtoto na mfalme Suleiman.
Mwenye mtoto kuokoa maisha ya mwanawe alikuwa tayari kumwachia mtoto kwa mama mwingine badala ya kumvutania. Hii ikiwa against all the odds!
Kwa kuokoa maisha ya watu wake Seif aliamua kama hicho kitaokoa maisha kwa watu wake akiangalia uwezekano mwingine kwa wakati huo, bora iwe hivyo.
Lissu alikimbilia ubalozini kwani mwenyewe alisema heri kuwa hai ukipambana kuliko kuwa mfu. Ambayo ni logical.
It is not over yet hiyo ni strategical retreat.
Acceptable kwenye uwanja wa vita.
Nikuonyeshe kitu kiduchu tu kwamba maalim ni jembe kweli kweli., kama maalim seif kuingia SUK kakosea sana akina Lipumba, Hamad Rashid na wenzake ambao waliisaliti CUF kipindi kile sasaiv kwa hatua hii ya maalim seif wangelikwisha kuja juu sanaa yaani sanaa lakini ukimya wao ni wazi kwamba wao ni big looser, big looser, waliitegemea ccm kuwa ndio itakuwa baba yao na mama yao sasa ona walipoangukia, it is terrible.Huyo ndio basi tena , yeye na Zitto they are politically finished like Lipumba , nobody could listen to them again .
Mkuu maoni yako nayaona na nakuelewa.
Hata hivyo usisahau kuna uwekazaji mkubwa sana unawekwa ku tarnish efforts zozote za ukombozi wa hii nchi.
Ndiyo maana kuna hadi hao wa buku 7.
Kiwango ambacho wangependa kumchafua Maalim, Lissu na labda hata wewe hapo wanakijua wenyewe. Kwa ufupi watajaribu na watafanya kila kitu.
Wanapoendelea na juhudi hizo usishangae likarushwa dongo kuwa BAK ni TISS. Mbona hata Lissu wameshajaribu hayo yakadunda?
Ninadhani ndani ya magumu yaliyopo na bila ya kupendelea upande wowote mizani ingali inalala upande wa Maalim kuwa ni jembe unless proven otherwise and beyond reasonable doubts.
Hawa jamaa wanapigika na tulikuwa karibu sana na hapo. Tusisambaratishiwe hapa.
Tukubali kutokukubaliana.
Ninaamini mtu wa mwisho kuisaliti Zanzibar atakuwa Maalim. Huyu jamaa kapambana mkuu na sote tuna mengi ya kujifunza kwake.
Kuna msemo unasema kuwa kila habari ya jambo ina pande mbili. Sasa sijui mwenzangu kwanza una umri gani lakini nataka kukumbusha tu kuwa wengine tunavyomjua Seif sharif si hivyo mnavyomjua nyinyi wengine. Nitajaribu kukueleza kwa ufupi tu lakini kwanza, naomba niweke bayana kuwa mimi si mwanachama wa chama chechote kila na wala sitaraji hata siku moja ya maisha yangu kujiunga na chama chechote kile Tanzania.Mabibi na mabwana si busara sana kuukimbia ukweli. Ukweli ni mchungu na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Kumekuwa na mengi kuhusu ACT na Maalim Seif hasa baada ya kujiunga SUK.
Ufuatao ndiyo ulio ukweli kuhusiana na jembe hili la Zanzibar.
Maalim Seif kaipigania Zanzibar maisha yake yote. Angali anapigana na ataendelea inshallah (mola apishilie mbali) hadi kifo kitakapo mtenga.
Kuipigania kwake Zanzibar ndipo kunakompa hii credibility au kupendwa aliko nako. Ni umaarufu huo ambao pia ndiyo iliyo sababu kuu ya yeye kuibiwa kura na mahasimu wake kila uchao.
Alipo Seif wapo!
Alikuwa CUF yuko ACT hata akienda TADEA au wapi watakuwa naye huko.
Zanzibar ni kipaumbele chake. Si Bara. "Mtu kwao" na "mcheza kwao hutunzwa."
Akiitisha Seif hata leo kule Zanzibar kitanuka. Tofauti kubwa sana ya kule na Bara. Huyu gwiji ana msingi uliojichimbia barabara chini ya ardhi.
Pana tofauti kubwa ya Maalim Seif kama binadamu na ACT kama chama. Huu nao ni ukweli mchungu. ACT ni chama imara ushukuriwe uwepo wa Maalim. ACT ni butu kama CUF bila Maalim. Profesa anaweza kuuthibitisha ukweli huu.
Maalim ni mpambanaji mzoefu. Huyu ana mbinu na uwezo wa mapambano kuliko majenerali wengi. Kumbeza Maalim ni kukosa kumtambua vyema wala kutambua agenda yake iliyokuu.
Kumhusisha Maalim na ukosefu wa haki kule Kagera au Rukwa ni kutojitendea haki sisi wenyewe.
Mambo ya Ngoswe huachiwa Ngoswe mwenyewe!
Kila mtu na apambane na hali yake. Maalim anapambania Zanzibar na anaowapigania wamempa ridhaa hiyo.
Kwenye hili si CCM wala awaye yote Bara anaweza kujidhania kashinda au kashindwa au hata kasalitiwa. Busara ni kukubali kutokubaliana.
Udumu Maalim Seif jembe la ukweli la Wazanzibari!
Seif ndiye huwa anaharibu pindi Zanzibar inapokuwa kwenye junction nzuri ya kujinasua kutoka kwenye makucha ya Tanganyika.Mkuu maoni yako nayaona na nakuelewa.
Hata hivyo usisahau kuna uwekazaji mkubwa sana unawekwa ku tarnish efforts zozote za ukombozi wa hii nchi.
Ndiyo maana kuna hadi hao wa buku 7.
Kiwango ambacho wangependa kumchafua Maalim, Lissu na labda hata wewe hapo wanakijua wenyewe. Kwa ufupi watajaribu na watafanya kila kitu.
Wanapoendelea na juhudi hizo usishangae likarushwa dongo kuwa BAK ni TISS. Mbona hata Lissu wameshajaribu hayo yakadunda?
Ninadhani ndani ya magumu yaliyopo na bila ya kupendelea upande wowote mizani ingali inalala upande wa Maalim kuwa ni jembe unless proven otherwise and beyond reasonable doubts.
Hawa jamaa wanapigika na tulikuwa karibu sana na hapo. Tusisambaratishiwe hapa.
Tukubali kutokukubaliana.
Ninaamini mtu wa mwisho kuisaliti Zanzibar atakuwa Maalim. Huyu jamaa kapambana mkuu na sote tuna mengi ya kujifunza kwake.
Kuna msemo unasema kuwa kila habari ya jambo ina pande mbili. Sasa sijui mwenzangu kwanza una umri gani lakini nataka kukumbusha tu kuwa wengine tunavyomjua Seif sharif si hivyo mnavyomjua nyinyi wengine. Nitajaribu kukueleza kwa ufupi tu lakini kwanza, naomba niweke bayana kuwa mimi si mwanachama wa chama chechote kila na wala sitaraji hata siku moja ya maisha yangu kujiunga na chama chechote kile Tanzania.
Naam, turudi kuhusu Seif Sharif. Seif Sharif sio kweli kuwa anaipigania zanzibar, seif sharif anajipigania manufaa yake mwenyewe toka ujanani kwake.
Seif aliwaendea kinyume akina aboud jumbe na wenzake pale walipofunga safari kwenda kumuona nyerere na kudai kuwepo kwa serikali tatu. Aboud jumbe, seif sharif na wenzake wote walikwenda kumuona nyerere kwa pamoja wakiamini madai yao ni kwa manufaa ya zanzibar. Matokeo yake Seif sharif aliwaendea kinyume wenzake, mara tu nyerere alimpomuahidi kuwa atampa urais wa zanzibar.
Seif sharif aliwaendea kinyume CCM na nyerere baada ya kuona kuwa nyerere hatotimiza ahadai yake ya kumpa urais yeye, pale alipopewa urais Abdulwakili baada ya ali hassan kuwa rais wa tanzania. Alianzisha manyago mpaka kufikia kufukuzwa ccm.
Ubaguzi na chuki baina ya wapemba na waunguja ilikuja juu zaidi wakati seif sharif alipokuwa kwanza waziri wa elimu na baadae waziri kiongozi. Tension ya juu sana ilikuwa juu ya nafasi za masomo nje ya nchi pamoja na nafasi za kazi kwa watu wa pemba. Jambo hili lilikuwa kama kutia petroli katika moto wakati wa utawala wa abdulwakili, mtu ambae alikuwa ni mbaguzi sana tu. Seif sharif alilijua hili na akaona hii ndio itakuwa advantage yake ya kumuondoa abdulwakil na kupata urais. Kwa bahati mbaya au nzuri gambel yake haikufanikiwa.
Sisemi mengine ila ukumbuke tu kuwa mara ya kwanza alipokubali kuwa makamo wa rais kuna watu tele walipoteza mali, maisha na hata ndoa zao katika kuhakikisha kuwa CUF inaingia madarakani lakini aliwaendea kinyume na kukubali kuwa makamo wa rais kwa manufaa yake mwenyewe na sio manufaa ya wanachama wake.
Mwaka huu amefanya yale yale tena, kuna watu tele wamepoteza maisha yao tena wengine ni viongozi au walikuwa karibu na viongozi wa ACT kwa sababu ya kutaka CCM itoke madarani na baada ya kualikwa kuchukua umakamo wa rais, seif sharif kakubali tena. Kasahau waliopigwa, waliouawa na walioharibiwa mali zao, almuradi yeye ni makamo wa rais,
Kwa hayo tu mimi sioni kama seif anapigania haki za zanzibar au za wazanzibari.
Mkuu hakuwezi kuwa na ukombozi katika Nchi iliyojaa DHULUMA kila kona. Na watu wengine kama akina Zitto wanaiona dhuluma hiyo lakini wanaamua kuikumbatia baada ya kununuliwa. HAKI ndiyo msingi mkubwa wa ukombozi na siyo siri kwamba Nchi yetu HAKI inazidi kupotea siku hadi siku tena kwa Watanzania walio wengi tu Wafanyakazi, Wakulima, Wafanyabiashara, Wastaafu n.k.
Kuna msemo unasema kuwa kila habari ya jambo ina pande mbili. Sasa sijui mwenzangu kwanza una umri gani lakini nataka kukumbusha tu kuwa wengine tunavyomjua Seif sharif si hivyo mnavyomjua nyinyi wengine. Nitajaribu kukueleza kwa ufupi tu lakini kwanza, naomba niweke bayana kuwa mimi si mwanachama wa chama chechote kila na wala sitaraji hata siku moja ya maisha yangu kujiunga na chama chechote kile Tanzania.
Naam, turudi kuhusu Seif Sharif. Seif Sharif sio kweli kuwa anaipigania zanzibar, seif sharif anajipigania manufaa yake mwenyewe toka ujanani kwake.
Seif aliwaendea kinyume akina aboud jumbe na wenzake pale walipofunga safari kwenda kumuona nyerere na kudai kuwepo kwa serikali tatu. Aboud jumbe, seif sharif na wenzake wote walikwenda kumuona nyerere kwa pamoja wakiamini madai yao ni kwa manufaa ya zanzibar. Matokeo yake Seif sharif aliwaendea kinyume wenzake, mara tu nyerere alimpomuahidi kuwa atampa urais wa zanzibar.
Seif sharif aliwaendea kinyume CCM na nyerere baada ya kuona kuwa nyerere hatotimiza ahadai yake ya kumpa urais yeye, pale alipopewa urais Abdulwakili baada ya ali hassan kuwa rais wa tanzania. Alianzisha manyago mpaka kufikia kufukuzwa ccm.
Ubaguzi na chuki baina ya wapemba na waunguja ilikuja juu zaidi wakati seif sharif alipokuwa kwanza waziri wa elimu na baadae waziri kiongozi. Tension ya juu sana ilikuwa juu ya nafasi za masomo nje ya nchi pamoja na nafasi za kazi kwa watu wa pemba. Jambo hili lilikuwa kama kutia petroli katika moto wakati wa utawala wa abdulwakili, mtu ambae alikuwa ni mbaguzi sana tu. Seif sharif alilijua hili na akaona hii ndio itakuwa advantage yake ya kumuondoa abdulwakil na kupata urais. Kwa bahati mbaya au nzuri gambel yake haikufanikiwa.
Sisemi mengine ila ukumbuke tu kuwa mara ya kwanza alipokubali kuwa makamo wa rais kuna watu tele walipoteza mali, maisha na hata ndoa zao katika kuhakikisha kuwa CUF inaingia madarakani lakini aliwaendea kinyume na kukubali kuwa makamo wa rais kwa manufaa yake mwenyewe na sio manufaa ya wanachama wake.
Mwaka huu amefanya yale yale tena, kuna watu tele wamepoteza maisha yao tena wengine ni viongozi au walikuwa karibu na viongozi wa ACT kwa sababu ya kutaka CCM itoke madarani na baada ya kualikwa kuchukua umakamo wa rais, seif sharif kakubali tena. Kasahau waliopigwa, waliouawa na walioharibiwa mali zao, almuradi yeye ni makamo wa rais,
Kwa hayo tu mimi sioni kama seif anapigania haki za zanzibar au za wazanzibari.
Maalim kaiweka ACT na kina Zitto kwenye picha. Ashukuriwe Maalim kwa mengi.
Hata hivyo kila siku ni muhimu kupalilia umoja badala ya utengano.
Pamoja na yote kama ulivyo wewe, mimi na yule tunahitajika sote kwenye ukombozi wa nchi hii.
Maridhiano kama yaitiwavyo na kamanda Mbowe na tukayaweke kwa vitendo baina yetu na hata baina ya vyama.
Palikuwa na hili mkuu:
View attachment 1650824
View attachment 1650838
Tokea hapa:
Shairi: Aikael Mbowe, Freeman Mwamba wa Tanzania
Aliyasema kaburu, kule Afrika Kusini, Kuja nyie kuwa huru, yafuteni akilini! Hata nyie makimburu, makwenu ni jalalani! Alikotoka Kabundi, hakika mtarajea! Hilo ni dua la kuku, Kamwe mwewe kumpata Ikulu ni marufuku,Tusipakane mafuta, Kweli mnayo shauku,yalojengwa kuyafuta, Hamtapata kitu...www.jamiiforums.com
Maridhiano bandugu!