Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Seif Sharif Hamad amesema misimamo ya vyama vya siasa isitumike kusababisha mifarakano na kuwagawa wananchi wa Zanzibar.
Amesema jamii nyingi zimefarakana na kutengana kwa sababu ya misimamo ya kisiasa na amewataka wananchi wabadilike na waendane na kasi ya Serikali ya Awamu ya Nane inayoongozwa na Rais Dk Hussein Mwinyi katika kuwaunganisha wananchi.
Soma, Pia: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini
Maalim Seif ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Kaskazini B, Bumbwini, Unguja akiwa katika ziara za kuhimiza mshikamano wa maridhiano ya kisiasa visiwani hapa.
Amesema jamii nyingi zimefarakana na kutengana kwa sababu ya misimamo ya kisiasa na amewataka wananchi wabadilike na waendane na kasi ya Serikali ya Awamu ya Nane inayoongozwa na Rais Dk Hussein Mwinyi katika kuwaunganisha wananchi.
Soma, Pia: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini
Maalim Seif ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Kaskazini B, Bumbwini, Unguja akiwa katika ziara za kuhimiza mshikamano wa maridhiano ya kisiasa visiwani hapa.