imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Akishinda kwa haki nitamnunulia maua
Siko mbali na kituo cha unyunyu cha Nsagali hapa Geita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akishinda kwa haki nitamnunulia maua
Sasa hivi ameshikilia sterling ya kunyongea uhuru na haki ya uchaguzi. Maisha bwana hata mimi kesho ninaweza kuwa first lady.
Nasikia anakesha kwa Wachawi Mkoa wa PwaniSasa hivi ameshikilia sterling ya kunyongea uhuru na haki ya uchaguzi. Maisha bwana hata mimi kesho ninaweza kuwa first lady.
😂😂😂😂😂Nasikia anakesha kwa Wachawi Mkoa wa Pwani
Watu kama nyie ndio huwa mnaolewa na wanawake. Mnaweka miguu juu kusubiria mke alete chakula mle.Hapa ndipo ninapowashangaa wenzangu wapinzani. Mpaka leo hii, uchaguzi si huru , yaani mapaka sasa leo na dakika hii uchaguzi ni batili, sasa Maalim anasubiri kitu gani batili? Hakuna uchaguzi huru na wa haki hadi dakika hii. If action should start now! Not jioni au kesho...
Hapana mkuu, action wont start before a triggering point which is matokeo. Ukianza sasa hivi kutokubali hata observers watakushangaa na kukuuliza nini kilichokufanya uact while election bado?Hapa ndipo ninapowashangaa wenzangu wapinzani. Mpaka leo hii, uchaguzi si huru , yaani mapaka sasa leo na dakika hii uchaguzi ni batili, sasa Maalim anasubiri kitu gani batili? Hakuna uchaguzi huru na wa haki hadi dakika hii. If action should start now! Not jioni au kesho...
You might be very right, excellently right, but kama huna wakala kwenye vituo utapata nini?Hapana mkuu, action wont start before a triggering point which is matokeo. Ukianza sasa hivi kutokubali hata observers watakushangaa na kukuuliza nini kilichokufanya uact while election bado?
Uvumilivu ni muhimu though una mwisho wake