Zanzibar 2020 Maalim Seif Sharif Hamad unataka kutugawa Watanzania kwa faida ya nani?

Watanzania ni akina nani?
Najua kuna wa-Zanzibar na Wa-Tanganyika.
Sasa kama anagawa wa-Tanzania basi ni kwa faida ya waTanganyika na wa-Zanzibar.
 
Kuna point sana hapa tumalizane tu hakuna tabu wabaki na nchi yao zanzibar na sisi bara tuite Tanganyika na Wao Zanzibar.
1.Faida za Tanganyika ni nyingi na mlizifaidi ikiwemo Hifadhi za wanyama mlituondea sana kwenye utalii mno.kuna milima , waterfalls,mazao,umeme na pia biashara zenu zilikuwa zinaenda kwa sababu ya muungano huu eti bahari hata sisi ipo huko,mlifaidi hata maziwa yetu makuu mf. Lake Manyara,Lake Victoria na mengine.

Nendeni tu wala hamtutishiii
 
Huo unaouzungumzia si muungano ni ukoloni na wazanzibar hawataki kutawaliwa.
 
Ok, but katika nyanja za uzalishaji mf. Mwani kwasehemu kubwa hutakiwa kufanywa na private sector. Sijui kuna nini kwwnye fikra za wazanzibari kwenye maeneo haya, sijui kwanini anatafutwa wa kulaumiwa
 
Jamani Matajiri wa pemba na wengine wa ZNZ watawekeza kwenye soko gani , na hizi nyumba zao zilizoko huku bara itakuwaje??

Aaahh hilo si tatizo, kwani si wengine wameekeza hata nairobi na mombasa kenya, na maisha yanaendelea..............!
 
Nakuunga mkono, nadhani wabara walioko zanzibar itawabidi wapigembizi ili kujiokoa. Utaelewa ninachosema ukienda zanzibar ukasikia kinachonenwa juu wabara
 
Antaka afie Ikulu tu huyu mzee hahahah
Yeye anajua kuwa ni yeye tu ndiye anastahili kuwa rais wa wazanzibar ndo maana hatoi fursa kwa mzanzibar mwingine yeyote miaka nenda rudi
 
Hili la Ku undermine Democratic process Mahera ajiandae na jela.
 
Umeandika upuuzi, yule anayesema hapa sitaleta maji mkichagua tofauti na chama changu huyo ndiyo anahubiri umoja na kusema watatumia dola kubaki madarakani ndiyo umoja? shame on you
Achague watu wa kugoma na kumpinga nani anataka huo upuuzi. Hata Mbowe ukimbishia anakutolea dirishani, sembuse kumgomea. Ndio maana manyumbu wenu walikubali kumpa 1.5M, bila kubisha bisha. Chama saccos cha mbowe kimejiozea tu, majinga jinga ndio watawachagua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…