Zanzibar 2020 Maalim Seif Sharif: Mwisho wa enzi, Pemba

Zanzibar 2020 Maalim Seif Sharif: Mwisho wa enzi, Pemba

Hao ni wafanyakazi ambao wamelazimishwa waende pia wapo waliopelekwa kabla ya kampeni wapo kibao huko
 
Mwone na huyu anaota ndoto ya mchana. Hivi unadiriki kusema upupu Kama huuu kabisa kwenye umma umesahau CUF Chama chake na huyo mzee kimemeguka na makundi mawili ACT Wazalendo na CUF so kura alizozipata 2015 zimegawanyika
CUF ndio nini mkuu wacha upuuzi. Sisi tunaongea mambo serious hapa.
 
Ngoja nimtafute bibie wangu aliyepo Pemba anipe uhalisia.
 
Takwimu zako hazikueleza majeshi wangapi waliopelekwa Pemba.Nakumbushia tuu 😉
 
Acha Hizo danganya toto wewe hakuna mtu aliyelazimishwa Kila mtu anakuja kwa utashi wake kabisa
Hamuwezi kupata mtu kwa utashi wake Pemba. Mafuta bure mnatoa, mbona mambo yako wazi? Tatizo nyie wa kuvushwa huwa mnapelekwa na kurudishwa na vyombo vya serikali. ila wenye gari zao wanaelewa kwamba siku ya kampeni mafuta bure. Vijana wanapata mafuta ya drift na askari hakukamati sasa ata kama huna leseni, wewe bandika bendera ya CCM tu
 
Hatuna Mambo ya kichoko Kama hayo sisi ni Chama kubwa na tunapendwa na Kila Rika Babu mfano mzuri angalia Jana Pemba ambayo ni Ngome ya Maalim. Ngome imebomolewa
Tabia izo za kichoko mnazo za kulamisha wanafunzi waje mkutanoni na kuwashurutisha waajiriwa wa serikali kwenda kwenye mikutano kwa lazima. Uchoko mlokuwa nao zaidi mnawaambia wahitimu wa form 6 live bila kupepesa kuwa ili wapate ajira wachukue kadi za CCM. vijana wanachukua na kura hawakupigiini jinsi mlivo na tabia za machoko.
 
We Kama huna cha kuongea kaa kimya. Jibu kabisa swali kwamba wewe Ni wakala wa Mabeberu na Maalim
kheri utawaliwe na beberu kuliko kutawaliwa mtu mweusi! 😀 Miaka 50+ mmeenda kununua meli bovu la MV mapinduzi.
 
Endelea kujidanganya tu ivo ivo,
Hutaamini
2015 spoke for itself. Mlizoea kuiba kura, vijana wakaamua kuzilinda kisawasawa, mkaona hamna pa kupumulia. Mkampa dhamana Jecha kibabu cha watu mnataka kukitia matatizoni tu 😀
 
Baada ya uliyoyaandika naomba nikuulize, unamjua Rais wasasa..? anatokea wapi na ni wa chama gani..?
Rais au mkuu wa mkoa? 😀 Jambo la nchi yake mwenyewe anakwenda kuomba ruhusa kufanya kwa waliomueka Dodoma 😀
 
Munajifurahisha. Baada ya pingamizi zenu FEKI halafu kutishia askari 3200 kisha kuwapa masheha uniform za CCM na kuhakikisha kila mmoja kavaaa na kaenda mkutanoni. Tena wanafunzi wote wa sekondari lazima waende mkutanoni pamoja na wafanya kazi wa serikali. Hilo bado, jee wale walioletwa kwa meli kutoka unguja na daresaalaaam. Kwa hiyo ile mipango yenu ya kulazimisha haitofanikiwa. Kama walivo mkataa Ali Hassani Mwinyi, wapemba hawawezi kumkubali mtoto wake. Kosa alilowafanyia wapemba hajadiriki hata kuomba samahani.
Wakati wa kura za kutafuta mgombea, mi CCM ya Unguja ikasema mara hii zamu ya Unguja baada ya kuona Mbarawa ni favorite kuchaguliwa. Yaani mijamaa mibaguzi. Walisema mpemba kuingia ikulu ni sawa na mbwa kuingia msikitini. Yaani wamewafananisha wapemba na mbwa, hao ni CCM, leo hii eti wanajipa matumaini kuwa Wapemba wamemkubali Mwinyi kisa tu wamebeba watu kutoka Unguja na Bongo kuwapeleka Pemba.
 
TAKWIMU HAZIDANGANYI

Kwa kawaida Kisiwa cha Pemba limekuwa chini ya himaya ya Maalim Seif kwa muda mrefu, mara zote kura za Pemba zimekuwa ni kura za uhakika kwa Maalim, kwa kifupi Pemba ilikuwa ni Ngome ya Maalim Seif, ukweli huu kwasasa umebadilika. Mapokezi ya Dkt Mwinyi jana yamekuja na taswira mpya ya Pemba.

Twende sawa kitakwimu,

Kura za CCM Pemba hazijawahi kuzidi 20,000 kati ya kura 125,000 zinazopigwa miaka ya 2010 na 2015. Mwaka huu wa 2020 wamejiandikisha wapigakura wapya 23,000 na kufanya idadi ya wapiga kura kufikia 148,000 kwa Pemba.

UMATI wa Wapemba uliojitokeza Gombani jana ni zaidi ya watu 60,000. Hawa ni mbali na wale waliojipanga mabarabarani wakimpokea Dkt Mwinyi akitoka Airport.

FACTS ON VOTER'S BEHAVIOR

1: Wapemba sio Wanafiki

Kwa waPemba tofauti za kiitikadi zinafanana kabisa na itikadi za kidini. Mtu akishajidhihirisha katika Dini yake anakuwa muumini kamili. Wapemba wamedhihirisha Imani yao kwa sasa.

2: Wapemba wanapiga kura
Wakati wote ambapo takwimu za wapiga kura zinapungua Tanzania Bara, Pemba hazijawahi kupungua, wakati wote over 95% ya waliojiandikisha hujitokeza kupiga kura. Mpemba aliyekuwepo Uingereza, Italy, Dubai, Oman, Qatar, Kamachumu, Liwale, Kakonko na hata Ukala, atajiandikisha na kuhakikisha anasafiri umbali wowote aliopo kwenda kupiga kura.

3: Wapemba wengi (wafuasi kindakindaki wa Seif ni Diaspora) Kwa maana hawaishi Pemba, ndio maana mipango ya ushindi ya ACT Wazalendo imeenda kupangwa Dubai. Kwa hali ya Dunia kwasasa ambapo kuna Corona na Lockdown katika nchi zenye wafuasi hao kama ilivyo Uingereza, Ulaya na Canada pamoja na nchi za kiarabu ni wazi watashindwa kushiriki kupiga kura mwaka huu.

4; Umri wa Wapigakura.
Ukweli ni kwamba Idadi ya Wapemba wahafidhina (wafuasi wa Seif) imeendelea kupungua kwenye daftari la wapigakura. Vijana wenye maono,elimu na matarajio mapya wamejiandikisha kwa wingi. Age Sex structure inaonyesha 40% ya wapiga kura wana umri chini ya miaka 35 na walio na umri wa chini ya miaka 50 (Umri wa Mgombea wa CCM Dkt Mwinyi) ni asilimia 87 ya wapigakura (Age mates)

Ikiwa Maalim Seif ana miaka takribani 80, umri huo (miaka 75 - 85) kwenye daftari la wapigakura ni pungufu ya asilimia 1. Hawa ndio waliokuwa pamoja na Maalim, kusoma pamoja na kuishi pamoja. Kwa ufupi watu ambao wanamjua na kumfahamu Maalim Seif kwa undani kabisa.

5; CCM imejipanga Pemba,
Ushuhuda wa Kazi ya Dkt Shein na mashineri ya CCM imejimarisha zaidi katika kipindi cha miaka 5 iliyopita. Ni kipindi hiki ndipo Ndugu Polepole alifanya ziara Pemba exclusively kwa zaidi ya siku 45, ziara ya Dkt Bashiru na Mikakati ya ushindi ya Chama hakika zimezaa matunda. Ni katika kipindi hiki Wabunge na Wawakilishi kutoka Pemba walijiuzulu na kujiunga na CCM.

6: Mpasuko wa CUF / ACT / ADC
Kwa miaka 5 iliyopita, migogoro mikubwa imeikumba Kambi ya Upinzani, CUF ikapasuka, Maalim akahamia ACT Wazalendo.Mpasuko huo umeacha athari kubwa Pemba, CUF bado haijakata roho, ADC imeendelea kujiimarisha na ACT imjipenya Pemba, lakini ukweli ni kuwa Chama hiko hakina mizizi wala nguvu,Nguvu iko kwa Maalim mwenyewe sio ACT, ACT haina nguvu wala mashineri ya Ushindi.

7: Sifa binafsi za Mgombea,
Waswahili walisema, Wema hauozi na chanda chema huvikwa Pete.Maisha ya Dkt Mwinyi tangu wakati wote wa Uongozi wake yamekuwa ni ya kujishusha. Tabia njema imekuwa ndio SIFA KUU inayomtambulisha. Hana kashfa wala makandokando. Anakubalika na Vijana na anapendwa na Wazee na Watu wazima. Mapokezi ya jana yameakisi taswira ya mapenzi ya watu kwa Mgombea, hakuna Mgombea wa CCM aliwahi kupata mapokezi hayo tangu kuanza kwa vyama vingi, HATA Dkt Shein ambae amezaliwa Pemba na kuwa na ndugu huko HAKUWAHI kupata mapokezi hayo.

NYOTA NJEMA HUONEKANA ASUBUHI NA TAKWIMU HAZIDANGANYI KUWA DKT MWINYI NI RAIS WA MIOYO YA WAZANZIBAR.

Ni wazi na ukweli usio na shaka yeyote kuwa kura za Dkt Mwinyi Pemba ni zaidi ya 90,000 Mwaka huu.

#YanayoNineemaTupu.
#Ushindiwamapema
#Mwinyi2020✅
View attachment 1572087
PALE NZI WA KIJANI WANAPOJITEKENYA KISHA WANACHEKA WENYEWE.
CCM HAIJAWAHI KUKUBALIWA VISIWANI, HUSUSAN PEMBA!
WEWE NI MBULULA KAMA ALIVYO MWENYEKITI WAKO!
NIPO HUKU PEMBA KWA SASA NA KWA TAARIFA YAKO TU KUTOKEA MKOANI, CHAKE, WETE MPAKA MICHEWENI HAKUNA WILAYA HATA MOJA AMBAYO CCM ITAPATA KURA 10!
 
Pemba hii ya Tanzania ama ile ya Msumbiji? Jitekenye tu na kucheka mwenyewe.
TAKWIMU HAZIDANGANYI

Kwa kawaida Kisiwa cha Pemba limekuwa chini ya himaya ya Maalim Seif kwa muda mrefu, mara zote kura za Pemba zimekuwa ni kura za uhakika kwa Maalim, kwa kifupi Pemba ilikuwa ni Ngome ya Maalim Seif, ukweli huu kwasasa umebadilika. Mapokezi ya Dkt Mwinyi jana yamekuja na taswira mpya ya Pemba.

Twende sawa kitakwimu,

Kura za CCM Pemba hazijawahi kuzidi 20,000 kati ya kura 125,000 zinazopigwa miaka ya 2010 na 2015. Mwaka huu wa 2020 wamejiandikisha wapigakura wapya 23,000 na kufanya idadi ya wapiga kura kufikia 148,000 kwa Pemba.

UMATI wa Wapemba uliojitokeza Gombani jana ni zaidi ya watu 60,000. Hawa ni mbali na wale waliojipanga mabarabarani wakimpokea Dkt Mwinyi akitoka Airport.

FACTS ON VOTER'S BEHAVIOR

1: Wapemba sio Wanafiki

Kwa waPemba tofauti za kiitikadi zinafanana kabisa na itikadi za kidini. Mtu akishajidhihirisha katika Dini yake anakuwa muumini kamili. Wapemba wamedhihirisha Imani yao kwa sasa.

2: Wapemba wanapiga kura
Wakati wote ambapo takwimu za wapiga kura zinapungua Tanzania Bara, Pemba hazijawahi kupungua, wakati wote over 95% ya waliojiandikisha hujitokeza kupiga kura. Mpemba aliyekuwepo Uingereza, Italy, Dubai, Oman, Qatar, Kamachumu, Liwale, Kakonko na hata Ukala, atajiandikisha na kuhakikisha anasafiri umbali wowote aliopo kwenda kupiga kura.

3: Wapemba wengi (wafuasi kindakindaki wa Seif ni Diaspora) Kwa maana hawaishi Pemba, ndio maana mipango ya ushindi ya ACT Wazalendo imeenda kupangwa Dubai. Kwa hali ya Dunia kwasasa ambapo kuna Corona na Lockdown katika nchi zenye wafuasi hao kama ilivyo Uingereza, Ulaya na Canada pamoja na nchi za kiarabu ni wazi watashindwa kushiriki kupiga kura mwaka huu.

4; Umri wa Wapigakura.
Ukweli ni kwamba Idadi ya Wapemba wahafidhina (wafuasi wa Seif) imeendelea kupungua kwenye daftari la wapigakura. Vijana wenye maono,elimu na matarajio mapya wamejiandikisha kwa wingi. Age Sex structure inaonyesha 40% ya wapiga kura wana umri chini ya miaka 35 na walio na umri wa chini ya miaka 50 (Umri wa Mgombea wa CCM Dkt Mwinyi) ni asilimia 87 ya wapigakura (Age mates)

Ikiwa Maalim Seif ana miaka takribani 80, umri huo (miaka 75 - 85) kwenye daftari la wapigakura ni pungufu ya asilimia 1. Hawa ndio waliokuwa pamoja na Maalim, kusoma pamoja na kuishi pamoja. Kwa ufupi watu ambao wanamjua na kumfahamu Maalim Seif kwa undani kabisa.

5; CCM imejipanga Pemba,
Ushuhuda wa Kazi ya Dkt Shein na mashineri ya CCM imejimarisha zaidi katika kipindi cha miaka 5 iliyopita. Ni kipindi hiki ndipo Ndugu Polepole alifanya ziara Pemba exclusively kwa zaidi ya siku 45, ziara ya Dkt Bashiru na Mikakati ya ushindi ya Chama hakika zimezaa matunda. Ni katika kipindi hiki Wabunge na Wawakilishi kutoka Pemba walijiuzulu na kujiunga na CCM.

6: Mpasuko wa CUF / ACT / ADC
Kwa miaka 5 iliyopita, migogoro mikubwa imeikumba Kambi ya Upinzani, CUF ikapasuka, Maalim akahamia ACT Wazalendo.Mpasuko huo umeacha athari kubwa Pemba, CUF bado haijakata roho, ADC imeendelea kujiimarisha na ACT imjipenya Pemba, lakini ukweli ni kuwa Chama hiko hakina mizizi wala nguvu,Nguvu iko kwa Maalim mwenyewe sio ACT, ACT haina nguvu wala mashineri ya Ushindi.

7: Sifa binafsi za Mgombea,
Waswahili walisema, Wema hauozi na chanda chema huvikwa Pete.Maisha ya Dkt Mwinyi tangu wakati wote wa Uongozi wake yamekuwa ni ya kujishusha. Tabia njema imekuwa ndio SIFA KUU inayomtambulisha. Hana kashfa wala makandokando. Anakubalika na Vijana na anapendwa na Wazee na Watu wazima. Mapokezi ya jana yameakisi taswira ya mapenzi ya watu kwa Mgombea, hakuna Mgombea wa CCM aliwahi kupata mapokezi hayo tangu kuanza kwa vyama vingi, HATA Dkt Shein ambae amezaliwa Pemba na kuwa na ndugu huko HAKUWAHI kupata mapokezi hayo.

NYOTA NJEMA HUONEKANA ASUBUHI NA TAKWIMU HAZIDANGANYI KUWA DKT MWINYI NI RAIS WA MIOYO YA WAZANZIBAR.

Ni wazi na ukweli usio na shaka yeyote kuwa kura za Dkt Mwinyi Pemba ni zaidi ya 90,000 Mwaka huu.

#YanayoNineemaTupu.
#Ushindiwamapema
#Mwinyi2020✅
View attachment 1572087
 
Hata kama haitashinda pemba, zanzibar siyo pemba peke yake, lakini pia ukae ukijua kwamba kura za pemba mwaka huu kwa ccm zitaongezeka hata kama hazitazidi za ACT,,

Huko kusema CCM inalazimisha watu.kuhudhuria mikutanoni ni propaganda tuu na hazina udhibitisho wowote.

Tusubir tuone tarehe ya uchaguzi ukweli utaonekana wazi
Huijui pemba tuulize tunaoijua yakhee.

Mimi binafsi nafuata sana kwasababu gari ni bure tu kinyume chake hamna kitu.

Sehem yenye nyumba 500 pemba utapata nyumba 20za ccm.
 
Back
Top Bottom