Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 977
- 2,370
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtukufu sikuhizi anasikilizia Tundu Lissu anangurumia wapi leo.Maalimu seif anam beep mtukufu magufuli
Maamuzi mengi ya jiwe yalikua ya kibabe sasa anaelewa kuwa kuna wanaoijua sheria.Mbona.siku hizi hawamheshimu wala kumuogopa jiwe hadi wanasema upumbavu kafanyie huko bara loooooooh!
Hasira zimekaba koo.Mbona.siku hizi hawamheshimu wala kumuogopa jiwe hadi wanasema upumbavu kafanyie huko bara loooooooh!
Ila 2015 ilikuwa aibu sana, this time maalimu kaamua halafu pia amepata sana nguvu kwa Tundu Lissu.
Yaani naamini kama Maalimu angeenda Chadema mambo yangekuwa tofauti sana.
Sijui kwanini hakwenda Chadema. Chadema ndo wanaweza hizi harakati, ACT na CUF hawana historia ya kuwa wapinzani kwahiyo kuna level fulani ya mapambano na harakati hawawezi kufika
"Heads will roll" this time.Haya sasa CCM wanalazimisha vita,Maalim ananoa jambia kichwa cha Magufuli kitaruka hadi Chato