Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Tubet , Zanzibar kisiponuka mwaka huu niwe kibogoyo kwa miaka 5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhahahahahaHalafu tuelewane kidogo mtu akikwambia uache Ukhanithi uache ukhanithi kweli hiyo ni hatua ya mwisho.
Wapemba wameamua mkuu tuwaue wote!Mbona.siku hizi hawamheshimu wala kumuogopa jiwe hadi wanasema upumbavu kafanyie huko bara loooooooh!
Seif anajitia uazimu, wakianza kupata wanachokitamani asiombe pooNaamini kuna kauli mbadala hasa unapotaka kuwasilisha ujumbe wowote ule.
Kauli kama hizi hazifai hasa kwa mtu anayetafuta wadhifa mkubwa wa kuongoza watu.
Zaidi ya hayo umri wake kama Mzee ugemfanya kuyapima maneno yake kabla hajayafyatua. Maana yakishatoka na kuleta madhara huwa hayarudi kamwe.
Huyu mzee anazeeka vibaya anaogea matusi makubwa hivyo mbele ya wajukuu wake?
Ametutukana bara eeh!! Sasa urais atausikia redioni tu!!"Ukhanithi mwisho bara!"
Maalim.
Mkuu mikubonyeze. Hata akiwekwa chino ya ulinzi watakuwa wamemsaidia. Hawatosema tena kwamba kawatuma yeye kajichimbia. Mwaka huu liwalo naliwe. Ukimwaga ugali namalizia mboga.Siku ya matokeo anawekwa chini ya ulinzi anazungukwa kila kona mtu anatangazwa na kuapiswa kabisa alafu tuone ataenda wapi na atatokaje kwake mbele ya bataliani nzima ya ulinzi
Ni lini alikwenda huko? Inataka akili kubwa kusema uongo ukaelekeaAnataka kuwauza kama 205 yeye aishie umanagani watakubali hayoo
Nini maana ya khanithi?Ametutukana bara eeh!! Sasa urais atausikia redioni tu!!
Tumejiandaa kufa na mtu majuto ya niniMsije mkajutia tuu
VIDEO YA ALICHOKIONGEA MAALIM HII HAPA:
Not lord only JESUS IN GOD AND IN HIM WE MUST TRUST!hajapenda kuyatamka maneno haya. Inaonekana wazi amechoka kudhulumiwa. Ina maana gani kufanya uchaguzi wa kupiga kura iwapo mshindi hatangazwi???
Kuna wakati mtu anasukumwa anakubali, Ila akifikishwa ukutani lazima reaction iwepo.
JESUS IS LORD.
Laleki... Moto utawaka.Mzee amesema hataki uhanithi, yupo tayari kwa lolote.View attachment 1553103
Maalim atabakia kuwa mgombea wa kudumu maisha yake yote
Na nasikia ameongezewa dozi ya vidonge vya kuzuia moyo usisimameMagu amejiunga bundle la miezi mitatu mfululizo ili aweze kufuatilia yanayojiri kwa Rais Lissu
Rekebisheni kasoro zinazolalamikiwa huko Zanzibar ili mambo yaende vizuri na amani.Nimekumbuka nilipokua mdogo... ilikua kabla hata sjafikisha umri umri wa kupiga kura kikatiba...
View attachment 1553104
Kabla hatujaanza kutishiana tukumbuke tuna nchi moja tuu nayo ni Tanzania na amani ya nchi hii ni kubwa kuliko mtu yeyote
Wakati tunadai uhuru tukumbuke tunadaiwa utii bila shurti
Wakati tunadai haki tukumbuke tunatakiwa kutimiza wajibu wetu
Kampeni bila vitisho inawezekana
Hakuna anayeomba kuumwa.Na nasikia ameongezewa dozi ya vidonge vya kuzuia moyo usisimame
Ombo au mkonga ?......asiyedindisha