Guru Master
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 226
- 594
kumekuwa na threads za kuelemea upande mmoja na magroup ya whatsapp. lakini nimewaza zaidi ni bora kama kutakuwa na group lenye kuwakutanisha wapenzi na mashabiki wa Simba na Yanga. hapa tutapata nafasi ya kutaniana sana na pia kufarijiana kwa uhuru bila mtu kuambiwa ni Mamluki.
mpira ni furaha,undugu na kujenga utani. wala si uadui. mwaka huu simba na yanga zote zipo kwenye hatua nzur za kuchukua kombe tukutane hapa kutaniana na pia kwenye group la whatsapp tuwasiliane kwa namba hiii wanamichezo 0714160222 .
mpira ni furaha,undugu na kujenga utani. wala si uadui. mwaka huu simba na yanga zote zipo kwenye hatua nzur za kuchukua kombe tukutane hapa kutaniana na pia kwenye group la whatsapp tuwasiliane kwa namba hiii wanamichezo 0714160222 .