Maambukizi ya COVID19 yafikia 5206

Maambukizi ya COVID19 yafikia 5206

Pale munateseka kwa korona kwa kukosa maarifa wakati bongo mambo kama hivi.

Kila nchi inachukua hatua zake kivyake mwisho wa siku end result ndo itaonesha hatua ipi ilifaulu..huu upuzi wa nyinyi kuibeza Kenya kwa hatua ilizochukua ni ujinga
 
Kila nchi inachukua hatua zake kivyake mwisho wa siku end result ndo itaonesha hatua ipi ilifaulu..huu upuzi wa nyinyi kuibeza Kenya kwa hatua ilizochukua ni ujinga
Hamna hatua mliyochukua.nyinyi mnapima watu.

Kupima corona sio hatua za kupambana nayo.
 
Safi sanaa kenya.
Kwa kuwajali wananchi wenu.
msisahau kuwafungia ndani.
 
Sasa nyinyi hapo mnapambana na corona au mnapambana na vipimo[emoji23][emoji23][emoji23].

Mafanikio pia bado kipimo kiko mbele,kinawazidi tactics.
Kama hadi sasa huoni maana ya testing na contact tracing you're beyond educating... Baki na hizo akili zako
 
Kila nchi inachukua hatua zake kivyake mwisho wa siku end result ndo itaonesha hatua ipi ilifaulu..huu upuzi wa nyinyi kuibeza Kenya kwa hatua ilizochukua ni ujinga
Kenya ndio mlipiga kampeni sana ili Tanzania itengwe kwa madai kwamba hatuchukui hatua, mliitangazia dunia kwamba watanzani wanakufa kwa wingi na watu wanaokotwa barabarani, tulijaribu kuwaambia kwamba kila nchi inatumia njia tofauti kulingana na mazingira ya nchi yake laniki hamkukubali, mkafunga mipaka yenu, mkakataa kuamini vyeti vyetu tulivyovitoa kwa madereva.

Huu ni mwezi wa 4 sasa, mlikua mnasubiri na kusema kwamba Tanzania itakua ndio Italy ya Africa, lakini hadi sasa hamuamini kilichotokea, lazima tuwacheke na kuwaombea mabaya kwasababu ninyi mpo na wivu na roho mbaya sana kwa Tanzania.
 
Hivi kenya mbona bado wanaangamia, sisi Tanzania huku kwetu Covid-19 imeishaje, au kenya ni vifaa wanavyotumia
 
Kila nchi inachukua hatua zake kivyake mwisho wa siku end result ndo itaonesha hatua ipi ilifaulu..huu upuzi wa nyinyi kuibeza Kenya kwa hatua ilizochukua ni ujinga
"Kila nchi inachukua hatua zake kivyake"

Ni kiherehere gani ilikuwa inafanya media zenu, wanasiasa pamoja na kajamba nani kama wewe na wenzako kulaumu na kubeza hatua zilizo chukuliwa na JPM?
 
Kila nchi inachukua hatua zake kivyake mwisho wa siku end result ndo itaonesha hatua ipi ilifaulu..huu upuzi wa nyinyi kuibeza Kenya kwa hatua ilizochukua ni ujinga
Kweli we mpumbavu sasa mpaka sasa ujajua nchi gani imefaulu au nanyi bado mnaimani mpo ktk watakaofaulu?. Kila nchi imechukua hatua kivyake na matokeo tayar hayo matokeo unayoyataka wewe yatokee kwa baada ya mda gani wakati Tanzania tulifunga kila kitu ila sasa hivi ligi zinaendelea kama kawa beach watu wanajimwaga tu na shule za msingi tarehe 29 unataka mpaka upate ufaulu wewe ndio ujue kama watu wanafaulu. Watu tushashinda kitambo tu ila tatizo la Kenya wanakawaida moja , muna kitu kujiona ninyi bora kuona kama tatizo lipo kwenu bc lazima itakua ngumu sana kukoekana nchi zingine cjui kwakua ninyi munaongea kingereza!!
 
Kenya ndio mlipiga kampeni sana ili Tanzania itengwe kwa madai kwamba hatuchukui hatua, mliitangazia dunia kwamba watanzani wanakufa kwa wingi na watu wanaokotwa barabarani, tulijaribu kuwaambia kwamba kila nchi inatumia njia tofauti kulingana na mazingira ya nchi yake laniki hamkukubali, mkafunga mipaka yenu, mkakataa kuamini vyeti vyetu tulivyovitoa kwa madereva.

Huu ni mwezi wa 4 sasa, mlikua mnasubiri na kusema kwamba Tanzania itakua ndio Italy ya Africa, lakini hadi sasa hamuamini kilichotokea, lazima tuwacheke na kuwaombea mabaya kwasababu ninyi mpo na wivu na roho mbaya sana kwa Tanzania.
Imegeuka halafu hawajijui bado wanajiona wapo bora tu
 
Dunia nzima kila mtu ni mjinga ila Tanzania kila mtu ni mwerevu good day sir
Trump saa hii anaendelea na kampeni, jana urusi imefanya sijui onesho gani na watu hata barakoa hawakuvaa. Nyie mmen'gan'gania kujifungia ndani na kupima

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom