Yaani hadi wife kanishtukia ila namshukuu mungu majibu yalitoka ni mazuri[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Imagine hadi kucha!
Ki msingi uki pima uki kutwa na ukimwi kuna magonjwa matatu mengine itabidi upime nayo ni TB na malaria.... gonjwa lengine uwa lina nitoka na kama uta kutwa una gonjwa moja wapo kati ya ayo hakikisha una tumia dawa zake na kupona then una kula chakula bora na mazoezi mazuri alaf una rudi kupima tenaTena zamani walikuwa wanasema ARV mpaka cd4 zishuke. Siku hizi wanahamasisha ukipima tu unaanza on the spot. Washagundua kuwa wateja wao wanapungua.
Mkuu Mwezi unakaribia ushapima?Sasa inakuaje watu wanasema kupata ukimwi ni kazi mpaka michubuko?
HAHAHA MKUU MIMI HUA SIOGOPI KUPIMA....Mkuu Mwezi unakaribia ushapima?
Unachoongea ni correct kabisa.... hakuna ujasiri katika ukimwi unapoenda kupima aisee kama ulikua na mienendo fulani hivi lazima uogope sana.... maana ukimwi ni mbaya sana ni gonjwa la kutisha kupindukia watu hua wanauona hivihvi lakini sio mchezoDah yani Sasa hivi mada zote za ukimwi nazisoma with confidence ya ajabu bada ya Jana kupima ukimwi
Haya mambo yanaogopesha sana tunajifanya tunaroho ngumu lakini linapokuja swala la kupima hakuna mwenye ujasiri huo
Jana nimepitia kwenye tanuri la moto bada ya kugundua ni mzima Nina mpango wa kuoa Sasa zinaa Basi sitaki kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kabisa mkuu nilikuwa Na wasiwasi sana mi sio mzinzi Na Wala Huwa Sina tabia ya kuto tumia condom kabisa lakini niliwahi katwa Na kitu chenye ncha kali alafu mazingira tatanishi kweli maana Dunia ya Sasa hakuna cha kuamini kabisa from there sikuwahi kuwa na Amani yani hata nikipata kipele tu Huwa nahisi ndo ukimwi ikabidi tu Jana nijilipue hatimae ni mzima wa afya Mungu ni mwema sana jamani Sina hata cha kumrudishia mana stress nilizopata zimenitesa sanaUnachoongea ni correct kabisa.... hakuna ujasiri katika ukimwi unapoenda kupima aisee kama ulikua na mienendo fulani hivi lazima uogope sana.... maana ukimwi ni mbaya sana ni gonjwa la kutisha kupindukia watu hua wanauona hivihvi lakini sio mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha...Pole sana mkuu! Ukishaingiza tu kichwa kwenye kile kitobo kwisha habari yako