Maamuzi gani mabaya uliwahi kuyafanya yakakugharimu?

Maamuzi gani mabaya uliwahi kuyafanya yakakugharimu?

Haya mambo yapo kwa kila mmoja wetu. Hayakwepeki kwa sababu hatuna upeo wa kuona kesho.

So cha kufanya unatakiwa uchukulie poa, what goes goes, what stays stays.

Whatever was meant for you will reach you even if you are worlds apart from it. And whatever is not meant for you will not reach you even if it is between your teeth.

Bhassss.
 
Single mother
If you mean unajutia kuwa single mom mlaani shetani.

Motherhood is the best thimg that could happen to any woman whether of not the man is present in her life.

Hardships zipo za kulea ukiwa mwenyewe but usiruhusu any negative thoughts towards your child just because some dickhead opted not to be in your life.
 
Niliacha Kaz nmb Kanda ya magharibi na kujiunga na kampuni za mitaani Alo najuta had sas daah kijna ambae nilijuunga na sas HV Ni meneja wa tawi sehemu fln ...ila pia namshukuru mungu sna
 
Wasalaam,

Kwenye maisha Kuna kukosea, ni jambo/mambo gani ulishawahi kuyafanya ukabakia kujuta Sana?

Binafsi niliwahi kufanya yafuatayo!

1. Mwaka 2018 Kuna shamba Kama hekari 4 zilikuwa zinauzwa mahali, nikafika Bei vizuri mpaka process za kwenda kwa serikali za mitaa kukamilisha deals zikaanza, akatokea mwana mmoja akanistua Kuna mishe flan (business ya kupiga chap) nikaghairi, ile hela tukafanya lile dili, return Yale haikuwa nzuri kiviiile Bora ningenunua tu shamba!

Lile shamba jamaa mmoja akalinunua, now Kuna mradi flani serikali imepeleka pale, Yani barabara ndo imetenganisha tu! Now lile eneo limegeuka hot cace! Hapanunuliki, jamaa alienunua alikata vipande vipande akauza 20*40 , eneo lingine ameweka frame pia kwa nyuma anajenga Lodge, najuta Sana kwa Yale maamuzi!

Kisa kingine, Kuna sehemu palikuwa chimbo zuri la kisasa(bar) na lodge, Ni sehemu panahit Sana, mmiliki wake ni boss flan serikalini, safari nyingi haziishi, hata muda wa kupafatilia vizuri akawa anakosa, wakawa wanampiga Sana! Siku moja tumekaa mahali Kama utani akanigusia pale wanampiga Sana, anatafuta mtu amkodishie jumla, lodge na hio bar! Yeye aendeshe anavyojua apate riziki alipe na wafanyakazi, kwa hela alionitajia niliona nyingi Sana maana sikuwahi kufanya hii shughuli before! Nikampotezea akaona sieleweki, Kuna jamaa akapachukua, aloo jamaa katusua mbaya!

Kuna visa vingine vidogo vidogo Kama elimu niliosomea🤣, mambo ya mapenzi, kukopeshana hela na washkaji n.k! Lakini hivyo viwili najuta Sana, wewe ni maamuzi gani uliwahi kufanya now yanakugharimu/unayajutia??
Nyanyua mkono wako sema bwana Yesu nisamehe mimi mjinga sitarudia tena ujinga Ameen.....hakuna mtu hajawahi kukosea
 
Niliokota mil- nyingi nyingi kwa mujibu wa mwenyewe alisema mil-9 nikamrudishiaga na nilikuwa nimeona kabsa ni pesa akanitukana ki-utu uzima na kunipa elf 10 .. na kunishauri siku nyingine ukiokota pesa nyingi usimrudishie aliyepoteza wengine wanazitupa makusudi kumpa mtu bahati akafanye mambo yake.. sema nilikuwaga kijana mdogo sana
 
kutoamini NEEMA R hakuwa mwanamke sahihi kwenye maisha yangu na kumruhusu aende. Manina yule mwanamke kama kuna vitu aliviacha aje avitoe ananichelewesha kufanya maisha yangu.
 
Back
Top Bottom