Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Jirani watu hawana utu tena ndiyo maana wanashanga mbona unawezaje hili, ila mimi natambua unaweza kwa kuwa unalifanya kutoka moyoni, na nina uhakika unafanya kwa mapenzi ya dhati kabisa ya mtoto na maa yake, mambo ya a good Samaritan hayo..
Nafurahi umenielewa.
Kwa kifupi sihitaji any return from them.
 
Hahaha kwamba ana mental disoder
 
Bado kingine hujatuambia sisi wanaume🤔! Ila jiandae figisu kutoka kwa wife ambalo Kama hatakuwa mwelewa uaminifu na amani ndani ya ndoa utakuwa kwa jamaa anayeitwa rehani!
Afu naweye naye umeamuwa kumpa surprise huyo mama mtoto kupitia JF maana ameufuatilia huu Uzi! Oficially, you are polygamist Kama una mke tayari au inategemea kuoa mwingine zaidi ya huyu!? Wote tunaanzaga hivyo; nitamuhudumia tu wakati wa ujauzito na baada ya hapo tusijuane🤣😂🤣! Utakuja na Uzi mwingine Kuwa utakuwa naye mama na mtoto mpaka mtoto afikue chuo kikuu🤣😂🤣!? Funguka bana Kuwa umeamuwa Kuwa mwanaume kwake ktk maisha yake yote baada ya kuvulugwa na wavulana🤣😂🤣!?
Nikutakie yote heri🤔!
 
mi nakushauri Kaangalie Danga ya Idris halafu jiulize tena kama bado unasimamia msimamo.

Ila uyo dada anajua kupiga juju[emoji23][emoji23][emoji23] daah!!! Mwana mpaka umekubali kulea visivyo vyako na Long-term plan aaah Ametisha sana
 
mi nakushauri Kaangalie Danga ya Idris halafu jiulize tena kama bado unasimamia msimamo.

Ila uyo dada anajua kupiga juju[emoji23][emoji23][emoji23] daah!!! Mwana mpaka umekubali kulea visivyo vyako na Long-term plan aaah Ametisha sana
Mkitendwa shida, mkisaidiwa oooh kalogwa, haya nawe umechangia asante
 
Kabisa bro umefanya uanuzi wa maana na Mungu atakulipa fadhila kubwa,huko mbelw utapambana na changamoto nyingi lakini usiyumbe,Nungu atakulinda
 
Mkuu hili ni jambo jema sana,tenda bila kutegemea chochote in return kwani kwa kufanya hivyo utajisikia mwenye furaha daima maana jema au baya lolote likitokea in between halitakuumiza.
 
Mkuu hili ni jambo jema sana,tenda bila kutegemea chochote in return kwani kwa kufanya hivyo utajisikia mwenye furaha daima maana jema au baya lolote likitokea in between halitakuumiza.
Asante mkuu
 
Malipo ya huu wema kwa hawa wanawake tulio nao......hahahahahaaaa utafurahia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…