3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
- Thread starter
-
- #41
Ha ha ha huo wa kwanza huo wa pili badoMlio wa mbuzi kuna Meeeee! Na Mmmmeeeee!! Au yule mbuzi mwenye harufu Kali!! Kuna kuchunwa buzi pia humu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado
Mbuz ME au KE??Mlio wa mbuzi kuna Meeeee! Na Mmmmeeeee!! Au yule mbuzi mwenye harufu Kali!! Kuna kuchunwa buzi pia humu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
MeMbuz ME au KE??
Sent from my Android phone
AminaKaribu
2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Sikupita huku muda, nilikuwa najivinjari maeneo mengine hukoKarib
KaribuBaada ya kuwa nje ya jukwaa hili ila nikiwa mfuatiliaji wa mijadala mbalimbali kutoka kwa wachangiaji mbalimbali, hatimaye leo nimeamua kwa dhati yangu bila kushurutishwa na yeyote na nikiwa na akili timamu nijiunge na jukwaa hili na fikra huru, naamini mtanipokea vyema.
Asante sana
Kama bujibuji??natania lknPita huku tukuone sura kwanza maana kuna wana JF wana sura za ajabu haijawahi kutokea
Asante sanaKaribu sana.
To accomplish much you must first lose everything..
Ni ujumbe muhimu sana huo upo kwenye kitabu cha Ufunuo mkuuUmemaanisha nn kujiita hvyo mkuu??
Ungekuja na picha kabisa ndo ningeamini kuwa kweli umefanya maamuzi magumuBaada ya kuwa nje ya jukwaa hili ila nikiwa mfuatiliaji wa mijadala mbalimbali kutoka kwa wachangiaji mbalimbali, hatimaye leo nimeamua kwa dhati yangu bila kushurutishwa na yeyote na nikiwa na akili timamu nijiunge na jukwaa hili na fikra huru, naamini mtanipokea vyema.
Uweke basi hapa mkuu..tupate kituNi ujumbe muhimu sana huo upo kwenye kitabu cha Ufunuo mkuu