Ila sio makonda wala Mwigulu au Makamba au Nape.Taifa la Tanzania nakupenda nalipenda jeshi lake nawapenda wanausalama na wana Usalama wa Taifa letu teule Tanzania Tanganyika.
Neno la Mungu lina sema mavuno yapo tayari mtoto anataka kujifungua mimba umefika miezi tisa..
Mtoto huyo je ni wakwetu ama baba yake yupo nje ? Mtoto huyo ananguvu na maamuzi magumu yasipo fanyika mtoto huyo atawafanya manamba ktk Taifa la baba yake nakuwaacha watupu.
Nani atathubutu kumgusa huyo mtoto kuokoa Taifa ?
Gharama nikubwa na kila mtu anaona. Je ipo haja kujifunza kwa wa Israel au mi6 au cia au Mossad
Sijuwi ila kazi ipo
Ubunto botho au sio?Jumapili njema
Kila siku tumesema iwe mvua au jua 2025 haendi mtu vinginevyo tuimbe TenziTaifa la Tanzania nakupenda nalipenda jeshi lake nawapenda wanausalama na wana Usalama wa Taifa letu teule Tanzania Tanganyika.
Neno la Mungu lina sema mavuno yapo tayari mtoto anataka kujifungua mimba umefika miezi tisa..
Mtoto huyo je ni wakwetu ama baba yake yupo nje ? Mtoto huyo ananguvu na maamuzi magumu yasipo fanyika mtoto huyo atawafanya manamba ktk Taifa la baba yake nakuwaacha watupu.
Nani atathubutu kumgusa huyo mtoto kuokoa Taifa ?
Gharama nikubwa na kila mtu anaona. Je ipo haja kujifunza kwa wa Israel au mi6 au cia au Mossad
Sijuwi ila kazi ipo
Daaah yule jamaa ngumi mkononi nae yupo mfukoni kweli haoni haya yanayotokea ?Jinsi alivyopangua waandamizi huko jeshini na huko usalama wa naniliu sidhani kama kuna wanaloweza kufanya.
Njia ya amani na yenye matumaini ni moja tu, ndani ya chama. Kama ZANU-PF walivyofanya kwa Mugabe.
Mtu anawekwa kati ghafla kisha mwenyewe anaandika barua ya kung'atuka. Baada ya hapo chama kinakaa na "kuridhia" maombi yake. Kisha mchakato unaendelea.
Lakini kwa TZ hii ninayoijua iliyojaa watu wajinga, wezi, wabinafsi na wanaojali maslahi yao na familia zao, basi kituo kinachofuata ni 2030.
2025 Ngumu hapo kweli 2030Jinsi alivyopangua waandamizi huko jeshini na huko usalama wa naniliu sidhani kama kuna wanaloweza kufanya.
Njia ya amani na yenye matumaini ni moja tu, ndani ya chama. Kama ZANU-PF walivyofanya kwa Mugabe.
Mtu anawekwa kati ghafla kisha mwenyewe anaandika barua ya kung'atuka. Baada ya hapo chama kinakaa na "kuridhia" maombi yake. Kisha mchakato unaendelea.
Lakini kwa TZ hii ninayoijua iliyojaa watu wajinga, wezi, wabinafsi na wanaojali maslahi yao na familia zao, basi kituo kinachofuata ni 2030.
Kile kilicho amuliwa ndicho kitasimama kuwa chenyewe!Taifa la Tanzania nakupenda nalipenda jeshi lake nawapenda wanausalama na wana Usalama wa Taifa letu teule Tanzania Tanganyika.
Neno la Mungu lina sema mavuno yapo tayari mtoto anataka kujifungua mimba umefika miezi tisa.
Mtoto huyo je ni wakwetu ama baba yake yupo nje ? Mtoto huyo ana nguvu na maamuzi magumu yasipofanyika mtoto huyo atawafanya manamba ktk Taifa la baba yake nakuwaacha watupu.
Nani atathubutu kumgusa huyo mtoto kuokoa Taifa ?
Gharama nikubwa na kila mtu anaona. Je, ipo haja kujifunza kwa wa Israel au mi6 au CIA au Mossad
sijuwi ila kazi ipo
Sio mazuri kama magumuTaifa la Tanzania nakupenda nalipenda jeshi lake nawapenda wanausalama na wana Usalama wa Taifa letu teule Tanzania Tanganyika.
Neno la Mungu lina sema mavuno yapo tayari mtoto anataka kujifungua mimba umefika miezi tisa.
Mtoto huyo je ni wakwetu ama baba yake yupo nje ? Mtoto huyo ana nguvu na maamuzi magumu yasipofanyika mtoto huyo atawafanya manamba ktk Taifa la baba yake nakuwaacha watupu.
Nani atathubutu kumgusa huyo mtoto kuokoa Taifa ?
Gharama nikubwa na kila mtu anaona. Je, ipo haja kujifunza kwa wa Israel au mi6 au CIA au Mossad
sijuwi ila kazi ipo
Upo?Jumapili njema
umetoka kapa nn we mkuu, code rais sana kidon ni assasination department idf, anayeongelewa kwa tz ni anayepiga nchi mnada, sasa huelewi nn?Nimetoka kapa kweli kwenye siasa bado nipo underground ...ila naamin tumetka kapa wengi ila watu lazima wajitutumue