Pre GE2025 Maamuzi magumu yapo mbele ya wana Kidon wa Tanzania

Pre GE2025 Maamuzi magumu yapo mbele ya wana Kidon wa Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Taifa la Tanzania nakupenda nalipenda jeshi lake nawapenda wanausalama na wana Usalama wa Taifa letu teule Tanzania Tanganyika.

Neno la Mungu lina sema mavuno yapo tayari mtoto anataka kujifungua mimba umefika miezi tisa.

Mtoto huyo je ni wakwetu ama baba yake yupo nje ? Mtoto huyo ana nguvu na maamuzi magumu yasipofanyika mtoto huyo atawafanya manamba ktk Taifa la baba yake nakuwaacha watupu.

Nani atathubutu kumgusa huyo mtoto kuokoa Taifa ?

Gharama nikubwa na kila mtu anaona. Je, ipo haja kujifunza kwa wa Israel au mi6 au CIA au Mossad
sijuwi ila kazi ipo

Huna lolote, Kila mara unajifanya una maono ya mbali lakini hayatokei. Ulipatia kwa Ben Saa8 tu. Lakini tokea hapo huna jipya.
 
Taifa la Tanzania nakupenda nalipenda jeshi lake nawapenda wanausalama na wana Usalama wa Taifa letu teule Tanzania Tanganyika.

Neno la Mungu lina sema mavuno yapo tayari mtoto anataka kujifungua mimba umefika miezi tisa.

Mtoto huyo je ni wakwetu ama baba yake yupo nje ? Mtoto huyo ana nguvu na maamuzi magumu yasipofanyika mtoto huyo atawafanya manamba ktk Taifa la baba yake nakuwaacha watupu.

Nani atathubutu kumgusa huyo mtoto kuokoa Taifa ?

Gharama nikubwa na kila mtu anaona. Je, ipo haja kujifunza kwa wa Israel au mi6 au CIA au Mossad
sijuwi ila kazi ipo
Matawi uliyoyataja ya wanakidon wengi wao wanatumikia matumbo sio taifa for next years and generations to come

Mossad,CIA KGB na mengineyo ni habari nyingine kabisa,na ndio maana wako extra miles kila uchao
 
Back
Top Bottom