Pre GE2025 Maamuzi magumu yapo mbele ya wana Kidon wa Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Huna lolote, Kila mara unajifanya una maono ya mbali lakini hayatokei. Ulipatia kwa Ben Saa8 tu. Lakini tokea hapo huna jipya.
 
Matawi uliyoyataja ya wanakidon wengi wao wanatumikia matumbo sio taifa for next years and generations to come

Mossad,CIA KGB na mengineyo ni habari nyingine kabisa,na ndio maana wako extra miles kila uchao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…