Shem umewahi jiuliza neno "wild in bed" limechimbukia wapi?
contradictory eeenh.
wild? pleasure?
Sasa swali langu ni kuwa, wakati mi nadhani punishment (physical), ni ngumi, mateke, vichwa, meno, rungu nk, kumbe hata "that rod stick" inaweza kutumia (sio kutotumika), kuadhibu?!!!
....dahhh, kaka am sad to say mimi na sifa zote za huyo mtu wa tatu aisee...dahhh, sijui nitajibadilisha vipi...labda ze boss anaweza nishauri wapi naweza pata sindano za hiyo testosterones, niwe dominant kama Lizzy alivyoshauri...!
....dahhh, kaka am sad to say mimi na sifa zote za huyo mtu wa tatu aisee...dahhh, sijui nitajibadilisha vipi...labda ze boss anaweza nishauri wapi naweza pata sindano za hiyo testosterones, niwe dominant kama Lizzy alivyoshauri...!
kumbe ni kweli kuna watu wanakuwa abused kwa kuosheshwa vyombo?? How can you feel punished with that flabby thing?!...lol
Sasa swali langu ni kuwa, wakati mi nadhani punishment (physical), ni ngumi, mateke, vichwa, meno, rungu nk, kumbe hata "that rod stick" inaweza kutumia (sio kutotumika), kuadhibu?!!!
...mind you, tafsiri ya abuses huenda inatofautiana baina ya mtu na mtu, au jamii na jamii....
mwenyewe ananisisitiza -" better the devil you know,...!"-
Hapo sasa....
...wewe bana ushaambiwa yes bado unataka uthibitisho...khaa? lawyers bana! hahaha...
Wala hauko wrong na naona umekubaliana na mimi zaidi labda paangalie hapo red kwa umakini zaidi, pia nikuulize kivyengine labda haujawahi kumsikia mdada especially hawa mazungu wakisifia sex kwa kusema, jamaa ni animal kwenye kitanda. animal??????Lawyer nadhani ''wild'' inapotumika kwenye hiyo context inaashiria willingness to explore any means to please ones lover.
That's just my thinking,...I could be wrong!
mengi tumeongea lakini hivi tunajua kuwa 'attraction' is not a choice????
Tuko, tfauti ya Players na abusers iko hapo. Players wanakuchanganya na wildness yao, abusers wanakuumiza na abuses zao, have you ever heard about being raped by your husband/lover which is once of the characters za abusers wengi?! That is what I meant.
Hahahah....vidonge vya nini Mbu???Kwani wewe ndie mwathirika hapa???
We need you well and sober!!
Tuko, tfauti ya Players na abusers iko hapo. Players wanakuchanganya na wildness yao, abusers wanakuumiza na abuses zao, have you ever heard about being raped by your husband/lover which is one of the characters za abusers wengi?! That is what I meant.
Mbu............with all due respect Sir, may I?
Wala hauko wrong na naona umekubaliana na mimi zaidi labda paangalie hapo red kwa umakini zaidi, pia nikuulize kivyengine labda haujawahi kumsikia mdada especially hawa mazungu wakisifia sex kwa kusema, jamaa ni animal kwenye kitanda. animal??????
"Loosing confidence is a prime and perfect sign of true love"Hapo sasa....
Kloro....ng'ombe ameshalala badala ya kumkata mapembe unamwamsha kwanza???
Ooowke... kumbe nimekupata...
(off topic kidogo... kuna wanaume hawapati stimu wakipractice mapenzi ya 'pole pole', yani wao ili kitu istimuke lazima wafanye 'fujo' kwa binti, sukuma kule, chapa kofi la mat...oni, bilingisa sakafuni, bwaga kitandani, ikiwezekana hata anauma na meno, hadi aone binti analia, then kitu inastimuka, anavamia juu, kuchukuchukuchukuchu, kitanda kinapiga makelele, chaga zinavunjika, wanadondoka uvunguni.... then anamaliza huku akiunguruma arghrrrrrrrr... Lizzy can demonstrate better...lol)
Hahahah......dahhh, "ukiona mwenzio ananyolewa,....!"
Kuna jamaa alikuwa anadundwa na mkewe kila mara, so siku moja kumkomesha akaja usiku na rafiki yake lakini kamwambia ajifiche nje, akaanzisha zogo na mkewe, wakati mke wake anajiandaa kutoa kipigo jamaa akazima kibatari alafu akakimbia nje, then kule gizani akaingia yule rafiki yake, akashushia kosovo ya kutosha kwa yule mke, alipomaliza kumlainisha, akatokomea nje. Baada ya muda mfupi mwenye mke akarudi huku akimkemea mkewe kuwa kila siku alikuwa anammezea, leo ameamua kumuonyesha kumbe yeye ni mbabe... mke akamkoma tangu siku hiyo akidhani ndiye aliptemtembezea kosovo...
Ooowke... kumbe nimekupata...
(off topic kidogo... kuna wanaume hawapati stimu wakipractice mapenzi ya 'pole pole', yani wao ili kitu istimuke lazima wafanye 'fujo' kwa binti, sukuma kule, chapa kofi la mat...oni, bilingisa sakafuni, bwaga kitandani, ikiwezekana hata anauma na meno, hadi aone binti analia, then kitu inastimuka, anavamia juu, kuchukuchukuchukuchu, kitanda kinapiga makelele, chaga zinavunjika, wanadondoka uvunguni.... then anamaliza huku akiunguruma arghrrrrrrrr... Lizzy can demonstrate better...lol)
Hahahahahhaha..Kloro wewe ni mwisho wa reli aisee. Hii treni naona imefika. Yeahhh get well mheshimiwa."Loosing confidence is a prime and perfect sign of true love"
Infakti tangu utoe lile jibu basi natoka kijasho chembaamba halaf natetemeka kama zitto kabwe (get well soon mheshimiwa)
Thank you! na hiyo hapo red ndio sifa moja ya abuser.Heheheh...animal :hafikirii anatenda chochote kile anachoona kinafaa kwa wakati ule!!
"Loosing confidence is a prime and perfect sign of true love"
Infakti tangu utoe lile jibu basi natoka kijasho chembaamba halaf natetemeka kama zitto kabwe (get well soon mheshimiwa)
Mkuu ukiona unamtongoza mwanamke na hata wasiwasi hauna basi ujue haujampenda bado unamtamani tu.'loosing confidence is a prime and perfect sign of what????'
kumbeeeee???????