klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Uskute fujo lote hili kumbe mdada anamlia timing Mbu hehehe yaani unagundua kumbe MJ1 anamuadvice mkemwenza bila kujielewa. Dah!Mbu mi nimechoka sasa....
Yaliyosema yote ingependeza kweli dada akayaona na kuyatafakari ila kwasababu huwezi kumprintia thread zime asome embu ipaste kwenye google translator alafu umpe maana ukimtafsiria mwenyewe utamnyima uhondo....hatakiwi kukosa hata nukta!!!
Here comes The Boss,
mimi natafautiana na wewe kidogo tu, A perfect man sio lazima awe abusive lakini almost all abusive men naturally wana something very worthy kwa women life and behaviour. Yep I said it.
unajua kadri ninavyojifunza kuhusu women na relationships
naanza kuhisi sisi ambao sio 'abusive'
kuna kitu tuna miss.......
inawezekana 'a perfect man lazima awe abusive'
indo maana women huwa wanarudi kwa hao guys....
inawezekana we think we know but we dont....
I think not....
A perfect man is one that knows how to deal with his woman.
Hao wanyanyaswaji hua wanarudiwa kwa hofu...kutokujitambua...kutojijali...mazoea!!!
Ha ha haaa..
Kuna wanaume wamegundua tricky... Wanakuwa watu wa biti sana na vitisho vya uongo mbele ya wake zao... "Yaani leo konda aliniletea ujinga, nimazaba vibao hadi akaokolewa na trafick..."Yani Boss wangu (bosi wangu) kanipa kazi ya ovyo, nimempaka vibaya mbele za wafanyakazi wote, na kama ni kazi acha anifukuze, mi mwanaume bwana, sitashindwa kuishi"... "unajua namshangaa sana fulani, eti mke wake anachelewa kurudi nyumbani, yeye anamwangalia tu, ingekuwa mimi nakamata hicho kichwa nasokomezea kwenye jiko lenye moto"... n.k. Yani mwanaume akajifanya kuwa yeye ni noma mtaani kwa mkewe, kumba jamaa mwoga ajabu...
huwa inasaidia sometimes...
Kloro ukifuatilia sayansi inavyosema utakubaliana na mimi
labda we dont know ingawa tunafikiri tunajua..
mfano why some people are violent????
utakuta one of the reason ni 'too much testosterone'...
na ambayo ukiwa nayo sana unakuwa 'more of a man' kulinganisha na wengine
ambao wako average......sasa umeona hapo ilivyo????
Ha ha haaa..
Kuna wanaume wamegundua tricky... Wanakuwa watu wa biti sana na vitisho vya uongo mbele ya wake zao... "Yaani leo konda aliniletea ujinga, nimazaba vibao hadi akaokolewa na trafick..."Yani Boss wangu (bosi wangu) kanipa kazi ya ovyo, nimempaka vibaya mbele za wafanyakazi wote, na kama ni kazi acha anifukuze, mi mwanaume bwana, sitashindwa kuishi"... "unajua namshangaa sana fulani, eti mke wake anachelewa kurudi nyumbani, yeye anamwangalia tu, ingekuwa mimi nakamata hicho kichwa nasokomezea kwenye jiko lenye moto"... n.k. Yani mwanaume akajifanya kuwa yeye ni noma mtaani kwa mkewe, kumba jamaa mwoga ajabu...
huwa inasaidia sometimes...
lolhehehe Mkuu Mbu msimamo wangu uko pale pale wa juzi, hapa natoa ushauri kwa jinsi ninavyomsoma huyu mdada. Na hata ukiisoma hiyo post yangu utagundua kwamba nimeigawa katika "right decision" na "right advice" (yaani specific kwa huyu mdada), huyu mdada kitu cha kwanza kinachomshushia credit yake ni kuangalia na kuasses anakotoka otherwise uniambie kwamba yeye ndio alikuwa sababu ya break up ya relationships zake za nyuma.
Halaf kuna kila dalili akimalizana na huyo namba 3 namba 4 utakuwa wewe heheeh (MJ1 usisome hapa)
Nshaona dalili shem maana kuna mitego yangu nimetega naona Mbu kuruka vihunzi. lol mwache tu ajilete, ataondoka mwenyewe bila nauliUskute fujo lote hili kumbe mdada anamlia timing Mbu hehehe yaani unagundua kumbe MJ1 anamuadvice mkemwenza bila kujielewa. Dah!
heri mie sijasema
Haya mambo yapo shem! kuna kadada sku moja kalikuja kakajifanya kana matatizo nikashauri hata sidiria hakajavaa khaaa! katkati ya ushauri nikajikuta naimba wimbo wa taifa. Wanaume tunateseka wajameni!lol
Nshaona dalili shem maana kuna mitego yangu nimetega naona Mbu kuruka vihunzi. lol mwache tu ajilete, ataondoka mwenyewe bila nauli
Boss testosterone pekee haiwezi kumfanya mtu awe violent...yenyewe ni kama kisindikizaji tu kinachoungana na tabia za mtu binafsi.Kloro ukifuatilia sayansi inavyosema utakubaliana na mimi
labda we dont know ingawa tunafikiri tunajua..
mfano why some people are violent????
utakuta one of the reason ni 'too much testosterone'...
na ambayo ukiwa nayo sana unakuwa 'more of a man' kulinganisha na wengine
ambao wako average......sasa umeona hapo ilivyo????
dahhh,...................haya bana.
huu mdahalo unakwenda mbele na kurudi nyuma.
nisikuchoshe Lizzy....but mnh? mazoea ya nini? khaaa?
Nimekumbuka mzee mmoja kijijini kwetu, ilikuwa akirudi usiku kutoka kilabuni, akifika karibu na nyumbani anaanza kuporomosha matusi kwa sauti ya juu... "Mi ntakuua wewe, **%$%** mkubwa,unadhani unaniweza,... nikuue, nakuuliza nikuue"?... Kumbe unakuta jamaa yuko peke yake, lengo lake ni kumfanya mkewe ajue kwamba mume wake ni 'abusive' na anapiga yeyote anamchezea... akifika home anajifanya ana hasira, mke wake anambembeleza... "Mume wangu punguza hasira, baba nanii.., unaja ukiua mtu utafungwa na sisi tutateseka"...
Nimekumbuka mzee mmoja kijijini kwetu, ilikuwa akirudi usiku kutoka kilabuni, akifika karibu na nyumbani anaanza kuporomosha matusi kwa sauti ya juu... "Mi ntakuua wewe, **%$%** mkubwa,unadhani unaniweza,... nikuue, nakuuliza nikuue"?... Kumbe unakuta jamaa yuko peke yake, lengo lake ni kumfanya mkewe ajue kwamba mume wake ni 'abusive' na anapiga yeyote anamchezea... akifika home anajifanya ana hasira, mke wake anambembeleza... "Mume wangu punguza hasira, baba nanii.., unaja ukiua mtu utafungwa na sisi tutateseka"...
Lizzy nikuulize sualiBoss testosterone pekee haiwezi kumfanya mtu awe violent...yenyewe ni kama kisindikizaji tu kinachoungana na tabia za mtu binafsi.
Hahahaha....usijali Mbu.
Naongelea mazoea ya kunyanyaswa...mtu anakua amezoea kiasi kwamba asiponyanyaswa anahisi kukosa kitu na ndio mvutano kati ya kujiepusha na kuendelea na manyanyaso unapotokea.
Lizzy nikuulize suali
umeshawahi kuwa na mahusiano na mwanaume abusive?
feel free kutokujibu suala langu kama liko too personal au unaweza pia ukanijibu through PM kama hapa kina Mbu watakufanya uone aibu
Sio anataka kuonyesha kwamba ni abusive bali anataka kuonyesha kwamba ni DOMINANT. Mtu ambae ni abusive sio lazima awe dominant...na mtu dominant sio lazima awe abusive. Wapo abusers ambao sio dominant..na hawa mostly ni wale ambao nao wamewahi kua abused au hata wanaendelea kua abused na wao wanaabuse wenzao kulipiza kwa mwingine ambae ni mdhaifu zaidi yake.Yani kiujumla na wao ni WADHAIFU ila wanatafuta wadhaifu zaidi yao na kuwaonea.
i bet if the answer is yes....the next question will be
how was he in bed...lol
Hahaha wewe..... mwenzio nshatoa restriction order...marufuku kutoa ushauri bila mie kuwepo lol!! Eti namchunga Mbu na meno yake 32!! khaaHaya mambo yapo shem! kuna kadada sku moja kalikuja kakajifanya kana matatizo nikashauri hata sidiria hakajavaa khaaa! katkati ya ushauri nikajikuta naimba wimbo wa taifa. Wanaume tunateseka wajameni!