Maamuzi magumu...!

...lol...nimekupata lizzy, so...una maanisha kuna dalili hata huyo watatu atatafutiwa kisa awe provoked kuonyesha kiwango cha testosterones zake...mnh! ...hii sasa ni psychological trauma..
Eeee bana eee ndo maana namzimikia Lizzy aisee, unajua hii angle skuiona kabisa. Naungana na Lizzy the probability is there. Kazi kwako negotiator lol
 
Lizzy nikuulize suali
umeshawahi kuwa na mahusiano na mwanaume abusive?
feel free kutokujibu suala langu kama liko too personal au unaweza pia ukanijibu through PM kama hapa kina Mbu watakufanya uone aibu

Hahahahahah....we Kloro wewe.Asante sana kwa kuniweka kwenye kitimoto utadhani mimi ndio mtuhumiwa wakati mimi ni shahidi tu.
Nwy I haven't been that unfortunate.
 
Lizzy nikuulize suali
umeshawahi kuwa na mahusiano na mwanaume abusive?
feel free kutokujibu suala langu kama liko too personal au unaweza pia ukanijibu through PM kama hapa kina Mbu watakufanya uone aibu

i bet if the answer is yes....the next question will be
how was he in bed...lol

I bet the answer is ...'he was incredible'....

(kidude cha 'like' kimeniponyoka)

...classic! nimeipenda hii flow....hahahahaha!
Lizzy nasubiria kukusoma hapa...
 
...lol...nimekupata lizzy, so...una maanisha kuna dalili hata huyo watatu atatafutiwa kisa awe provoked kuonyesha kiwango cha testosterones zake...mnh! ...hii sasa ni psychological trauma..
Mbu am a bit sceptical.........how comes uko so interested na 'kitakachomtokea' mkaka wa tatu ilhali siye alokujakutaka ushauri?? mh
Hebu jivue gamba la kuprotect wanaume kwa sababu to me you sound kama vile ushamhukumu mdada wa watu ambaye ndie rafiki yako? au unamfahamu 'zaidi' huyu mdada na kuna kitu ambacho hujakiweka hapa hadharani? lol

Kloro shemeji yangu hebu njoo unifundishe namna ya kusoma yale makezi yenu ya 1900s!
 
Hahahahahah....we Kloro wewe.Asante sana kwa kuniweka kwenye kitimoto utadhani mimi ndio mtuhumiwa wakati mimi ni shahidi tu.
Nwy I haven't been that unfortunate.
How could u conclude it to "unfortunate"? anyway lets drop it, I know where is the best place to discuss it with you.
 
...lol...nimekupata lizzy, so...una maanisha kuna dalili hata huyo watatu atatafutiwa kisa awe provoked kuonyesha kiwango cha testosterones zake...mnh! ...hii sasa ni psychological trauma..
Mhhh no so much kumprovoke ila atatamani ile hali...bila kujua ofcourse.Alafu ikitokea ndo hapo atalia na kulalamika...ikikosekana tena anaimiss!!!It's a vicious circle.

i bet if the answer is yes....the next question will be
how was he in bed...lol
Hahahaha....you people!!!
Nwy perfomence ya huko nayo hua inachangia mtu kukubali manyanyaso especially kama agressiveness ipo na huko.
 
Haya mambo yapo shem! kuna kadada sku moja kalikuja kakajifanya kana matatizo nikashauri hata sidiria hakajavaa khaaa! katkati ya ushauri nikajikuta naimba wimbo wa taifa. Wanaume tunateseka wajameni!

Mkuu Kloro, hii nilikuwa sijaiona aisee...

Mi nisahshtukia maana kutokana na mazoea ya kuchat kwa msg na wadada ambap siwajui huku kwenye mtando, akiona kama humtongozi anaanza kuomba ushauri 'kuhusu mpenzi wake aliyemuacha, au asimkea, au vyovyote vile ilimradi muanzishe topic za kudiscuss mapenzi... sasa kama huwajui on the way unaweza ingia line ya 'mwanachuo' very easily
 
Mbu naomba umsome Lizzy kwa utulivu sana kwenye hii post yake. Ubarikiwe sana Lizzy.
narudia tena . Will u marry me?

Hahahaha....you people!!!
Nwy perfomence ya huko nayo hua inachangia mtu kukubali manyanyaso especially kama agressiveness ipo na huko.
 

Eti bwana... (najifunza umbea...lol)
 
Swadaktaaa... there you come...

.......and the YOU go!
Eeee bana eee ndo maana namzimikia Lizzy aisee, unajua hii angle skuiona kabisa. Naungana na Lizzy the probability is there. Kazi kwako negotiator lol

Hahahah...Kloro sindo maana mahakani mimi hua nakaa pembeni yako!!Ningekua nakaa upande wa pili unaowawakilisha wangelia kweli..lolz!
...classic! nimeipenda hii flow....hahahahaha!
Lizzy nasubiria kukusoma hapa...
Hhehehe....sorry to dissapoint y'all but sina gamba la kujivua hapo!!!

How could u conclude it to "unfortunate"? anyway lets drop it, I know where is the best place to discuss it with you.
Khaaaa yani we lawyer unaona hiyo ishu ni ''fortunate''???
Labda kwa waliozoea bana.....
 
heheh Mkuu Tuko,
kama sio lawyer basi unafaa kuwa lawyer.
MJ1 naomba soma hapa halaf subiria invoice yako naiandaa hapa.

 

Dearest kwasababu yeye ndie innocent pekee hapa so far....and a victim to be.
 
Lol Lizzy haahha eti performance mwe! Mie sina la kusema katika hilo kwa sababu kidooogo nina mtazamo tofauti.

Hivi Mbu ushapata cha kumshauri mate wako?? au tunakujazia tu pages hapa
 
Hahahaha....you people!!!
Nwy perfomence ya huko nayo hua inachangia mtu kukubali manyanyaso especially kama agressiveness ipo na huko.

Bachelor of Arts in Bed Aggressiveness please??? Ngoja nika-google.. sio vibaya kuongeza vidigrii uzeeni...lol
 

....kaaaa, hivi ee? jamani naomba niweke public apology hapa...kiukweli nilipandwa na mdadi nikajikuta namtetea sana huyu mdada kiasi cha kumkwaza soulmate wangu...

mwanajamiione baby...;
 
maisha yanaenda mbele hayarudi nyuma. aendelee na namba 3. hao wawili alishaona kasoro zao na ndio maana walishindwana. tabia ya mtu haiwezi kubadilika. watabadilika kwa siku chache them abuse itarudi palepale maana ndio tabia zao. kama ameweza kukaa na namba 3 for few months na hana kasoro walizonazo 1 and 2, basi huyu ndio mr. right wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…