Maamuzi mazuri

Maamuzi mazuri

kindimu

Member
Joined
Mar 26, 2014
Posts
42
Reaction score
7
Wanajamvi nimatumaini yangu kuwa ni wazima,Naomba kujuzwa kati ya Bachelor of art in economics, Bachelor of arts in Information Technology na Bachelor of Irrigation and water resource engineering. nina div 2 fom6 katika mchepuo wa pcm,naombeni mwenye uelewa juu ya fania hizo tatu ipi ni nzuli ukilinganisha na soko la ajira .naomba mawazo yanayojenga.
 
Back
Top Bottom