Maamuzi mazuri

kindimu

Member
Joined
Mar 26, 2014
Posts
42
Reaction score
7
Wanajamvi nimatumaini yangu kuwa ni wazima,Naomba kujuzwa kati ya Bachelor of art in economics, Bachelor of arts in Information Technology na Bachelor of Irrigation and water resource engineering. nina div 2 fom6 katika mchepuo wa pcm,naombeni mwenye uelewa juu ya fania hizo tatu ipi ni nzuli ukilinganisha na soko la ajira .naomba mawazo yanayojenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…