uamuzi mzuri kumchukua mkeo kuishi nae ughaibuni, ila...
kwanza, hakikisha amepata visa kwanza kabla hajaacha kazi.
Pili, mtoto ndiyo security yako bana, iweje leo hii uamue mtoto akakae kwa wazazi wako mkeo umuache mkiwa?...aisee maamuzi mengine unatafuta lawama sasa...
tatu, unamnyang'anya mke nyumba akakae kwenu/au kwao halafu nyumba unawapa shemeji zako, aisee?!
...ujue akikosa atajiskia unyonge sana kupoteza mume, mtoto, kazi, nyumba, na hata fedha ulizokuwa unamtumia...
anyway, nawatakia kila la kheri kwenye ndoa yenu.