Pre GE2025 Maamuzi ya CCM kumteua Dr Samia Kugombea Urais na Dr Nchimbi Mgombea Mwenza kumewavuruga sana Chadema, Walitamani agombee Makamba Jr!

Pre GE2025 Maamuzi ya CCM kumteua Dr Samia Kugombea Urais na Dr Nchimbi Mgombea Mwenza kumewavuruga sana Chadema, Walitamani agombee Makamba Jr!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kila Kona mazungumzo ya Chadema ni kulalamika tu kwanini Mkutano mkuu wa CCM umefanya uteuzi wa kushtukiza wa Mgombea uRais na makamu wake

Nawakumbusha tu Chadema Siasa ni Sayansi 😂😂

2030 anagombea Urais Dr Nchimbi

Imeisha hiyo 🐼
Ndo maana mkampiga chini Mbowe?
 
Kila Kona mazungumzo ya Chadema ni kulalamika tu kwanini Mkutano mkuu wa CCM umefanya uteuzi wa kushtukiza wa Mgombea uRais na makamu wake

Nawakumbusha tu Chadema Siasa ni Sayansi 😂😂

2030 anagombea Urais Dr Nchimbi

Imeisha hiyo 🐼
Ila kima za CCM zina kujiamini kwa kindezi. Mna hakika huyo Nchimbi atafika 2030?
 
Kila Kona mazungumzo ya Chadema ni kulalamika tu kwanini Mkutano mkuu wa CCM umefanya uteuzi wa kushtukiza wa Mgombea uRais na makamu wake

Nawakumbusha tu Chadema Siasa ni Sayansi 😂😂

2030 anagombea Urais Dr Nchimbi

Imeisha hiyo 🐼
Kumaanisha?!
 
Kila Kona mazungumzo ya Chadema ni kulalamika tu kwanini Mkutano mkuu wa CCM umefanya uteuzi wa kushtukiza wa Mgombea uRais na makamu wake

Nawakumbusha tu Chadema Siasa ni Sayansi 😂😂

2030 anagombea Urais Dr Nchimbi

Imeisha hiyo 🐼
Ccm ndo mnalalamikiana,
CDM imefurahi, battle imepungua nguvu!!
 
Kuandia na kuchanganya na viemoj vya kujichekesha hizi ni dalili za kuchanganyikiwa
 
Kila Kona mazungumzo ya Chadema ni kulalamika tu kwanini Mkutano mkuu wa CCM umefanya uteuzi wa kushtukiza wa Mgombea uRais na makamu wake

Nawakumbusha tu Chadema Siasa ni Sayansi 😂😂

2030 anagombea Urais Dr Nchimbi

Imeisha hiyo 🐼
Naoma unaota, makamba na chadema wapi na wapi 🤣🤣
 
Back
Top Bottom