maamuzi ya mwisho

kuna njia nimeamua kuiendea
........................
lakini naitaji kupumzika naitaji furaha moyoni mwangu na nimegundua njia hii ingawa sio nzuri machoni mwa watu ,itanipatia furaha

.....pls dont Kill yourself bana, pliz I beg you Smile....xoxo

Swahiba,

Naomba umsome tena na tena Smile...akijiua hawezi kufikia hilo lengo (blue)!!
 
Reactions: Mbu
Swahiba,

Naomba umsome tena na tena Smile...akijiua hawezi kufikia hilo lengo (blue)!!

Haha....pheeewww...afadhali umeliona kwa mtazamo huo....
mimi tayari nishaona kitanzi hapa...I hope nitamsoma tena kesho...
 
nyie mtaona matokeo najua mtanilaumu sana,na kuniona nimepotoka lakini ndo amani yangu ipo pale

Vipi kuhusu yale mamiongozo ya kuwa na lovelife bomba? Hayajawork?
 
"When you look long into an Abyss , Abbys looks into you" Nietzsche.
 

Hiyo njia nzuri sana.Yaani umehamua KUOA badala ya KUOLEWA..Safi sana maana kula roho inapenda.(Pia ndugu zetu wahindi ndo wanaoa badala yakuolewa.)
 

Hiyo njia nzuri sana.Yaani umehamua KUOA badala ya KUOLEWA..Safi sana maana kula roho inapenda.(Pia ndugu zetu wahindi ndo wanaoa badala yakuolewa.)
 

Ipi??? lesbian au ushoga??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…