Maamuzi ya Trump yamelenga kuwasaidia Viongozi wa Serikali za Afrika kuwa Wabunifu na kutumia akili

Maamuzi ya Trump yamelenga kuwasaidia Viongozi wa Serikali za Afrika kuwa Wabunifu na kutumia akili

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Wapo wavivu na wajinga wanaolalamika na kulaani kwanini Rais Donald Trump amesitisha misaada.

Kwa wanaojua utajiri uliokaliwa na Afrika, wanashangaa nani alituroga. Anachofanya Trump, kwa wenye akili na wabunifu, ni changamoto kuwa wahusika watumie akili na kuweza kutumia utajiri waliojaliwa na mwenyezi Mungu kujikomboa badala ya kuombaomba na kukopakopa na kuendekeza utegemezi visivyo vya lazima.

Pia soma: Donald Trump ni Rafiki wa kweli wa Afrika, wajinga na wanufaika wa misaada pekee watalaumu maamuzi yake

Anachofanya Trump ni sawa na mzazi anayemtimua mtoto nyumbani kwake ili akatafute kazi na chumba na kujifunza kujitegemea. Ni wangapi wamepitia hali hii na wakafanikiwa na kuwashukuru walioiwatimua au kuwanyima misaada isiyo na ulazima.

Kimsingi, Trump hataki kuwapa watu samaki bali kuwapa ndoana. Ni waisrael tu anaotaka waendelee kubebwa mgongoni ili waisadie Marekani kuwashughulikia waarabu.
 
Utofauti wetu na wao
237RPJSHZEI6VENLZZBZVJOHYE.jpg
sisi
Screenshot_20250128-084009_Google Go.jpg
 
Trump ana akili sana , kama angekuwa Rais tangu miaka ya 90's waafrika wangenyooka ...Elimu mnapewa ila bado hamjui kujiendeleza .

Angalia wanavyopigana pale congo kwa ujinga ...Trump namuombea afute scholarship , kila mtu arudi kweny nchi yake .
 
Hiyo move ya Trump inaweza kuwaamsha Watanzania waanze kujitambua na kuhoji matumizi mabovu ya pesa na rasilimali za nchi. Kuhimiza uwajibikaji na nini hasa ni vipaumbele vyetu.

Juzi hapo wakiongozwa na Salma Kikwete waliongeza ufujaji wa pesa kwa wenza wa viongozi na familia zao.
 
Wapo wavivu na wajinga wanaolalamika na kulaani kwanini Rais Donald Trump amesitisha misaada.

Kwa wanaojua utajiri uliokaliwa na Afrika, wanashangaa nani alituroga. Anachofanya Trump, kwa wenye akili na wabunifu, ni changamoto kuwa wahusika watumie akili na kuweza kutumia utajiri waliojaliwa na mwenyezi Mungu kujikomboa badala ya kuombaomba na kukopakopa na kuendekeza utegemezi visivyo vya lazima.

Anachofanya Trump ni sawa na mzazi anayemtimua mtoto nyumbani kwake ili akatafute kazi na chumba na kujifunza kujitegemea. Ni wangapi wamepitia hali hii na wakafanikiwa na kuwashukuru walioiwatimua au kuwanyima misaada isiyo na ulazima.

Kimsingi, Trump hataki kuwapa watu samaki bali kuwapa ndoana. Ni waisrael tu anaotaka waendelee kubebwa mgongoni ili waisadie Marekani kuwashughulikia waarabu.
Nakubaliana na wewe asilimia 1000
 
Trumpth ana akili sana , kama angekuwa Rais tangu miaka ya 90's waafrika wangenyooka ...Elimu mnapewa ila bado hamjui kujiendeleza .

Angalia wanavyopigana pale congo kwa ujinga ...Trumpth namuombea afute scholarship , kila mtu arudi kweny nchi yake .
Tatizo sisi tunaongozwa na watu wajinga sn, ukiona misafara ya watawala utadhani nchi ipo vitani matumizi makubwa na ya anasa haswa
 
Wapo wavivu na wajinga wanaolalamika na kulaani kwanini Rais Donald Trump amesitisha misaada.

Kwa wanaojua utajiri uliokaliwa na Afrika, wanashangaa nani alituroga. Anachofanya Trump, kwa wenye akili na wabunifu, ni changamoto kuwa wahusika watumie akili na kuweza kutumia utajiri waliojaliwa na mwenyezi Mungu kujikomboa badala ya kuombaomba na kukopakopa na kuendekeza utegemezi visivyo vya lazima.

Anachofanya Trump ni sawa na mzazi anayemtimua mtoto nyumbani kwake ili akatafute kazi na chumba na kujifunza kujitegemea. Ni wangapi wamepitia hali hii na wakafanikiwa na kuwashukuru walioiwatimua au kuwanyima misaada isiyo na ulazima.

Kimsingi, Trump hataki kuwapa watu samaki bali kuwapa ndoana. Ni waisrael tu anaotaka waendelee kubebwa mgongoni ili waisadie Marekani kuwashughulikia waarabu.
Inategemea kama wanazo hizo akili.Mtu mweusi Kwa asili ni mbinagsi sana.
 
Trump sio kioo cha kufuta ufukara wa Africa, bali ni jinamizi ambalo hujui kesho ataamka je,unpredictable scumbag.
Ethiopia ilijenga bwawa kubwa ili kutatua matatizo makubwa ya kufua umeme,na kukuza kilimo hasa cha umwagiliaji bila kuhadhiri upatikanaji wa maji ya mto Nile kwa Nchi ya Misri.
Kama kawaida Misri anaejiona kama ndio tu mwenye madaraka ya kutumia maji ya mto Nile akaendekeza uongo wakati Trump akiwa Raisi,akatishia Ethiopia kuwa atalibomoa bwawa hilo kwa makombora.
Trump mfanyabishara aliyefilizika zaidi ya mara sita sio kioo cha jamii kwa ustawishaji wa uchumi kwa Africa.
Afrika ina watu wenye akili mara billioni kuliko kifaduro Trump.Ni kuogeza juhudi na kutumia akili zetu ili kutatua mambo yetu.
 
Sisi tunapata viongozi kupitia rushwa na ushirikina ndiyo maana hawana ubunifu wowote ni aibu tupu na laana kuwa na viongozi kama hawa tuliona nao
Hatuna viongozi bali tuna watawala Waroho ,walafi ,vigagula ,ving'ang'azi na wala rushwa,kama mleta mada alivyoeleza kwenye kichwa cha habari,
Viongozi huchaguliwa na wananchi ,watawala hujichagua kwa nguvu
 
Hatuna viongozi bali tuna watawala Waroho ,walafi ,vigagula ,ving'ang'azi na wala rushwa,kama mleta mada alivyoeleza kwenye kichwa cha habari,
Viongozi huchaguliwa na wananchi ,watawala hujichagua kwa nguvu
Yaani ni aibu tupu
 
Trump sio kioo cha kufuta ufukara wa Africa, bali ni jinamizi ambalo hujui kesho ataamka je,unpredictable scumbag.
Ethiopia ilijenga bwawa kubwa ili kutatua matatizo makubwa ya kufua umeme,na kukuza kilimo hasa cha umwagiliaji bila kuhadhiri upatikanaji wa maji ya mto Nile kwa Nchi ya Misri.
Kama kawaida Misri anaejiona kama ndio tu mwenye madaraka ya kutumia maji ya mto Nile akaendekeza uongo wakati Trump akiwa Raisi,akatishia Ethiopia kuwa atalibomoa bwawa hilo kwa makombora.
Trump mfanyabishara aliyefilizika zaidi ya mara sita sio kioo cha jamii kwa ustawishaji wa uchumi kwa Africa.
Afrika ina watu wenye akili mara billioni kuliko kifaduro Trump.Ni kuogeza juhudi na kutumia akili zetu ili kutatua mambo yetu.
Hao wenye akili wamefanya nn Africa?
Mbona kutwa kwenda kuomba huko Kwa kina Trump?
 
Wapo wavivu na wajinga wanaolalamika na kulaani kwanini Rais Donald Trump amesitisha misaada.

Kwa wanaojua utajiri uliokaliwa na Afrika, wanashangaa nani alituroga. Anachofanya Trump, kwa wenye akili na wabunifu, ni changamoto kuwa wahusika watumie akili na kuweza kutumia utajiri waliojaliwa na mwenyezi Mungu kujikomboa badala ya kuombaomba na kukopakopa na kuendekeza utegemezi visivyo vya lazima.

Anachofanya Trump ni sawa na mzazi anayemtimua mtoto nyumbani kwake ili akatafute kazi na chumba na kujifunza kujitegemea. Ni wangapi wamepitia hali hii na wakafanikiwa na kuwashukuru walioiwatimua au kuwanyima misaada isiyo na ulazima.

Kimsingi, Trump hataki kuwapa watu samaki bali kuwapa ndoana. Ni waisrael tu anaotaka waendelee kubebwa mgongoni ili waisadie Marekani kuwashughulikia waarabu.
NILIJUA TU HUYU MWAMBA ATAKUWA WA HIVI KUTOKANA NA MISIMAMO YAKE IMAGINE ANGEKUWEPO JIWE NDO MAMBO YANGENOGA. DAAH, HIVI GWAJIMA SI ANAWEZA KUFUFUA ??
 
Back
Top Bottom