Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Kila ulifanyalo Jaribu kuwaza ni athari gani utaleta,ikiwa ni negative basi fikiria mara mbili.
1.Watu wamesafiri kutoka mbali kwaajili ya hii kitu.
2.watu wamekodi usafiri na nyumba za kulala wageni Kwa starehe ya saa moja na nusu.
3.Mtu kakopa pesa anunue kifurushi ili aoneshe mpira kwenye bandaumiza lake.
4.watu kuona wamedharauliwa,
Yaani mwanamke kakushika uboo hadi unasimama kisha anavaa na kukimbia pasipo kuto......
Haya ni baadhi tu ya yanayoumiza,ila huu ujinga ukiendelea athari zake ni hizi.
~Watu kususia hizi mechi na mashabiki kupungua viwanjani
~Mauzo ya jezi kushuka baada ya watu kuona huu ni ujinga kuendelea kushabikia upuuzi
~Baadhi ya wadhamini kujitoa ,kwani huwezi kuweka dhamana Kwa mtu kichaa
~Ligi kukosa mvuto na kutokana na ubabaishaji (uswahili)
Mimi ni shabiki wa Yanga Ila Kwa leo sizilaumu hizi timu zote bali ,ni TFF na genge lake la kihuni.
Yaani ni kama mwanamke Malaya anakula nauli halafu anachimba
1.Watu wamesafiri kutoka mbali kwaajili ya hii kitu.
2.watu wamekodi usafiri na nyumba za kulala wageni Kwa starehe ya saa moja na nusu.
3.Mtu kakopa pesa anunue kifurushi ili aoneshe mpira kwenye bandaumiza lake.
4.watu kuona wamedharauliwa,
Yaani mwanamke kakushika uboo hadi unasimama kisha anavaa na kukimbia pasipo kuto......
Haya ni baadhi tu ya yanayoumiza,ila huu ujinga ukiendelea athari zake ni hizi.
~Watu kususia hizi mechi na mashabiki kupungua viwanjani
~Mauzo ya jezi kushuka baada ya watu kuona huu ni ujinga kuendelea kushabikia upuuzi
~Baadhi ya wadhamini kujitoa ,kwani huwezi kuweka dhamana Kwa mtu kichaa
~Ligi kukosa mvuto na kutokana na ubabaishaji (uswahili)
Mimi ni shabiki wa Yanga Ila Kwa leo sizilaumu hizi timu zote bali ,ni TFF na genge lake la kihuni.
Yaani ni kama mwanamke Malaya anakula nauli halafu anachimba