Maamuzi ya wajinga yanapotia watu hasara

Maamuzi ya wajinga yanapotia watu hasara

Mimi mtizamo wangu wa kilichojiri!
1. Simba hawakuwa na nia ya kucheza mechi hii kwa sababu zao iwe majeruhi au nyinginezo. Wakawa wanapanga plan..
2. Wakagundua udhaifu wa kanuni. Kuwa kanuni hii ilikuwa haifuatiliwi kwenye mechi za derby kwa sababu zao Simba na Yanga za kitamaduni..
3. Ndio maana Yanga hata haukuenda kwenye pitch feeling..
4. Yanga kama kawaida wakaweka komandoo kulinda uwanja kitamaduni!
5. Simba hapo uwanjani! Hakuna aliyetegemea sio walinzi, Yanga, TFF hata Bodi ya ligi! ( Hapa Simba wanastahili pongezi kwa ukachero)
6. Komandoo na waangalizi wa uwanja wakazuia Simba kuingia uwanjani!
7. Simba wanaondoka meno yote nje! Lao limetimia!
8. Kanuni imesimama, hakuna namna ni kula matapishi
9. Ahirishi mechi
 
Kila ulifanyalo Jaribu kuwaza ni athari gani utaleta,ikiwa ni negative basi fikiria mara mbili.

1.Watu wamesafiri kutoka mbali kwaajili ya hii kitu.

2.watu wamekodi usafiri na nyumba za kulala wageni Kwa starehe ya saa moja na nusu.

3.Mtu kakopa pesa anunue kifurushi ili aoneshe mpira kwenye bandaumiza lake.

4.watu kuona wamedharauliwa,
Yaani mwanamke kakushika uboo hadi unasimama kisha anavaa na kukimbia pasipo kuto......

Haya ni baadhi tu ya yanayoumiza,ila huu ujinga ukiendelea athari zake ni hizi.

~Watu kususia hizi mechi na mashabiki kupungua viwanjani

~Mauzo ya jezi kushuka baada ya watu kuona huu ni ujinga kuendelea kushabikia upuuzi

~Baadhi ya wadhamini kujitoa ,kwani huwezi kuweka dhamana Kwa mtu kichaa

~Ligi kukosa mvuto na kutokana na ubabaishaji (uswahili)

Mimi ni shabiki wa Yanga Ila Kwa leo sizilaumu hizi timu zote bali ,ni TFF na genge lake la kihuni.

Yaani ni kama mwanamke Malaya anakula nauli halafu anachimba
#. 4 dah waheed.
 
Kwani hilo kosa TFF hawajaliandalia adhabu yake hadi simba ijichagulie kuamua kutocheza. Au kosa kama hilo adhabu yake ni kuhairisha mechi?
 
Kila ulifanyalo Jaribu kuwaza ni athari gani utaleta,ikiwa ni negative basi fikiria mara mbili.

1.Watu wamesafiri kutoka mbali kwaajili ya hii kitu.

2.watu wamekodi usafiri na nyumba za kulala wageni Kwa starehe ya saa moja na nusu.

3.Mtu kakopa pesa anunue kifurushi ili aoneshe mpira kwenye bandaumiza lake.

4.watu kuona wamedharauliwa,
Yaani mwanamke kakushika uboo hadi unasimama kisha anavaa na kukimbia pasipo kuto......

Haya ni baadhi tu ya yanayoumiza,ila huu ujinga ukiendelea athari zake ni hizi.

~Watu kususia hizi mechi na mashabiki kupungua viwanjani

~Mauzo ya jezi kushuka baada ya watu kuona huu ni ujinga kuendelea kushabikia upuuzi

~Baadhi ya wadhamini kujitoa ,kwani huwezi kuweka dhamana Kwa mtu kichaa

~Ligi kukosa mvuto na kutokana na ubabaishaji (uswahili)

Mimi ni shabiki wa Yanga Ila Kwa leo sizilaumu hizi timu zote bali ,ni TFF na genge lake la kihuni.

Yaani ni kama mwanamke Malaya anakula nauli halafu anachimba
Ma watu lazima wajue poa kua Kuna natural catamites.
Tuache kua Simba wamegomea mechi vipi kama kungekua kumetokea tetemeko kubwa la ardhi ama mafuriko na uwanja ukabomoka mashabiki waliolioa Hela zao wangefanyaje?
Au timu moja ingepata ajali (Mungu aepushe lkn).
Kupelekea pambano kiahirishwa ingekuaje?
 
Kila ulifanyalo Jaribu kuwaza ni athari gani utaleta,ikiwa ni negative basi fikiria mara mbili.

1.Watu wamesafiri kutoka mbali kwaajili ya hii kitu.

2.watu wamekodi usafiri na nyumba za kulala wageni Kwa starehe ya saa moja na nusu.

3.Mtu kakopa pesa anunue kifurushi ili aoneshe mpira kwenye bandaumiza lake.

4.watu kuona wamedharauliwa,
Yaani mwanamke kakushika uboo hadi unasimama kisha anavaa na kukimbia pasipo kuto......

Haya ni baadhi tu ya yanayoumiza,ila huu ujinga ukiendelea athari zake ni hizi.

~Watu kususia hizi mechi na mashabiki kupungua viwanjani

~Mauzo ya jezi kushuka baada ya watu kuona huu ni ujinga kuendelea kushabikia upuuzi

~Baadhi ya wadhamini kujitoa ,kwani huwezi kuweka dhamana Kwa mtu kichaa

~Ligi kukosa mvuto na kutokana na ubabaishaji (uswahili)

Mimi ni shabiki wa Yanga Ila Kwa leo sizilaumu hizi timu zote bali ,ni TFF na genge lake la kihuni.

Yaani ni kama mwanamke Malaya anakula nauli halafu anachimba
Pole sana ulikopa ukaangalie mpira wa magumashi watu wanapanga matokeo ligi mbovu hamia Epl uburudike!
 
Back
Top Bottom