Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Mimi mtizamo wangu wa kilichojiri!
1. Simba hawakuwa na nia ya kucheza mechi hii kwa sababu zao iwe majeruhi au nyinginezo. Wakawa wanapanga plan..
2. Wakagundua udhaifu wa kanuni. Kuwa kanuni hii ilikuwa haifuatiliwi kwenye mechi za derby kwa sababu zao Simba na Yanga za kitamaduni..
3. Ndio maana Yanga hata haukuenda kwenye pitch feeling..
4. Yanga kama kawaida wakaweka komandoo kulinda uwanja kitamaduni!
5. Simba hapo uwanjani! Hakuna aliyetegemea sio walinzi, Yanga, TFF hata Bodi ya ligi! ( Hapa Simba wanastahili pongezi kwa ukachero)
6. Komandoo na waangalizi wa uwanja wakazuia Simba kuingia uwanjani!
7. Simba wanaondoka meno yote nje! Lao limetimia!
8. Kanuni imesimama, hakuna namna ni kula matapishi
9. Ahirishi mechi
1. Simba hawakuwa na nia ya kucheza mechi hii kwa sababu zao iwe majeruhi au nyinginezo. Wakawa wanapanga plan..
2. Wakagundua udhaifu wa kanuni. Kuwa kanuni hii ilikuwa haifuatiliwi kwenye mechi za derby kwa sababu zao Simba na Yanga za kitamaduni..
3. Ndio maana Yanga hata haukuenda kwenye pitch feeling..
4. Yanga kama kawaida wakaweka komandoo kulinda uwanja kitamaduni!
5. Simba hapo uwanjani! Hakuna aliyetegemea sio walinzi, Yanga, TFF hata Bodi ya ligi! ( Hapa Simba wanastahili pongezi kwa ukachero)
6. Komandoo na waangalizi wa uwanja wakazuia Simba kuingia uwanjani!
7. Simba wanaondoka meno yote nje! Lao limetimia!
8. Kanuni imesimama, hakuna namna ni kula matapishi
9. Ahirishi mechi