Na hapo ni urusi anafanya operation Ukraine!
Upo umuhimu wa kuzalisha mafuta yetu wenyewe hususani mafuta ya mimea itajenga na afya zetu, pia kuhamasisha ukuzaji wa teknolojia ya umeme tupate na magari yanayotumia umeme itatusaidia sana!.. tunaishi tu hata dira sijui tunayo au hatuna!