Maana halisi ya neno " zanzibar kumezwa"


Kweli Tanganyika kuna watu wana vichwa vya panzi

Elimu aliyotoa warioba jana sikutegemea tena kuwaona watu kama hawa wakijiokeza kwenye jukwaa hili na pengine popote kuizungumzia Zanzibar kiutumbo kama hivi

Kama Mh Warioba hajakutosha ninamsaidia

Kumezwa kwa zanzibar ni sababu ya Tanganyika kuvaa koti la Muungano wa zilizokua nchi mbili huru zilizokua na mamlaka kamili

Zilikua zinaitwa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar

Msemo mwengine ni "wajinga hawamalizi"
 
Sikutegemea badala ya warioba kutoa elimu mwanana kwa watanganyika jana leo anatokea -------- kuuliza ujinga kama huu

Kuna msemo unasema"wajinga hawamalizi"
 
tanganyika kwanza muungano baadae.kama wznz wana ubavu wajitoe ila hapa niserikali 3 siyo 2 wala 1 sina lengo tuvunje muungano la! ila wznz wabaguz na kaul za kuvunja muungano wao ndo waasisi. ili kila upande uridhike ni serk 3. nampenda maalim seif sana hana hata chembe ya unafiki anasema tuwe na muungano wa mkataba! bora huyu anasema wazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…