Maana halisi ya Rastafari

mkuu Yeriko Nyerere wewe ulihudhuria kongamaniko la marasta lilofanyika Basata mwezi uliopita?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Yeriko tunaomba ujibu maswali...!
 
Kuna wana wanajifanya marastafari pale posta brand house ili waopoe watoto wa kizungu!!!!kibongobongo wengi wanajifanya marastafarian wanakuwaga sio mahandsome
 
All in All!!

We'll be forever loving Jah!
Some they say see them walkin' up the street, they say we're going wrong to all the people we meet, but we wont worry we wont shed no tears, we'll find a way to cast away the fears forever yeeeeah
 
Kwa hiyo MUNGU wao aliwaumba ili wapate tabu hatimaye wamjue ipasavyo?
Kabla sijajibu, naomba nikuulize, je kwanini Mungu alimtuma mwanae Yesu aje asulubiwe na Wayahudi na warumi?
 
Kuna wana wanajifanya marastafari pale posta brand house ili waopoe watoto wa kizungu!!!!kibongobongo wengi wanajifanya marastafarian wanakuwaga sio mahandsome
Wale sio ‘’marastafari" bali ni watu waliofuga dreidi tu,

Urastafari huwa moyoni mwamtu
 

Nilikuwa namfuatilia huyu bwana yericko kwenye post moja inazungumzia "uchochezi wa mohamed said" (kama sijakosea) nikaona anajitahidi kuandika na kuwa na data fulani so detailed ila nikija kuangalia post kama hii namuona hajajipanga kabisa.
I dont get it either.
 

Huenda logical ya 'imani' huijui mkuu,

Imani haina ujengaji wa hoja zaidi ya kunukuu maandiko tu,
 
Huenda logical ya 'imani' huijui mkuu,

Imani haina ujengaji wa hoja zaidi ya kunukuu maandiko tu,

Maandika hayo hayo ndiyo yanayosema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa".
Naamini kunukuu maandiko pekeyake hakutoshi. Ndiyo maana wengine wanaua watu kwa kunukuu maandiko wakiamini watakwenda peponi. Mungu gani huyo anayekubaliana na mambo kama hayo?
 
Yeye yule alitembea na kuishi katika misingi mikuu ya imani kamili ya rastafari

Pia kuzaliwa kwake kulitabiriwa na ndio maana alivyozaliwa tu watu wakarudi kwenye maandiko huku wakikumbuka nasaha alizoacha muasisi wa BACK MOVEMENT TO AFRICA
 
Pia kuzaliwa kwake kulitabiriwa na ndio maana alivyozaliwa tu watu wakarudi kwenye maandiko huku wakikumbuka nasaha alizoacha muasisi wa BACK MOVEMENT TO AFRICA

Naomba reference ya kitabu na maandiko yanayoonesha kutabiriwa kwake ili na mimi nijiongezee elimu.
Karibu mkuu.
 
Naomba tuelezee kifo cha Jah haile selasie.
Na je ni kweli ktk utawala wake aliwahi kutesa watu wake na hata wengine kufa kwa njaa ?
 
Naomba tuelezee kifo cha Jah haile selasie.
Na je ni kweli ktk utawala wake aliwahi kutesa watu wake na hata: wengine kufa kwa njaa

Hapa tunajadili
Imani yake na sio utawala wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…