Maana halisi ya Rastafari

Nisawa na sakramenti kwa wakristu, je wakristu wote hutumia sakramenti kwa ibada zao?
Jibu ni hapana si wote wanatumia japo kisheria wanaruhusiwa..

Nilichotaka kujua ni uhalali wake kidini , je ni ruksa kwa sheria ya kiimani au ni masuala binafsi ya waumini tu japo hayaruhusiwi??
 
Vipi ganja(bangi) kwao nasikia ni mmea mtakatifu??

Sikia maneno ya Marlon Asher

"Tru jah jah bless i with nuff a good vibes man
and true mi a di artist with di ganja inna di land
make doctors get nuff medication
and so dem coulda give it to
dem sick patients
make get chemists get nuff
medication
and so dem coulda brew new medication
make singers get some inspiration and so dem coulda spread jah message pon di land... "
 
irie massiv,israel vib ktk album ya stamina
"it's sitting right here,it's absolutely clear that ganja herb is the healing of the nation So dont have no fear an' always be care an' when we air for nuff generation..
Yeah...
 
Jibu ni hapana si wote wanatumia japo kisheria wanaruhusiwa..

Nilichotaka kujua ni uhalali wake kidini , je ni ruksa kwa sheria ya kiimani au ni masuala binafsi ya waumini tu japo hayaruhusiwi??
Sio wote wanaotumia mfano Dube,Senzo walikuwa hawatumii wala kilevi hawatumi na alielezea fresh wakati anatengeneza album ya Respect kabla mauti hayajamkuta..
 
haile selaise ni kiongozi mkuu wa imani yenu, (i.e rastafari ni imani kamili) hapohapo umesema rastafari haimzuii mtu kua muumin wa iman nyengine, sasa je yawezekana kua na iman 2 kwa wakati mmoja
Inawezekana chamsingi ihimize Upendo,umoja na Amani ukiwa pamoja nakuviishi,ukiangalia asili ya reggae ni jamaica ila chimbuko la imani ni Ethopia na ukichunguza zaidi utaona Ethopia na Israel zinarelate kutokana na matukio yaliyotekea kipindi cha mfalme Sueleman..
 
Nami suala langu lipo hapo hapo mkuu Iman mbili zawezekanaje ktk moyo mmoja? Naomba ufafanuzi tafadhal
 
Nami suala langu lipo hapo hapo mkuu Iman mbili zawezekanaje ktk moyo mmoja? Naomba ufafanuzi tafadhal
Kabla sijakujibu embu ukipata nafsi msikilize Alpha Blond-God is one,Jesus..
Luck Dube-Shembe is the way,Jah live...
Rastafari anaamini katika Umoja,amani na Upendo mpaka hapo tosha kuwa rastafari..
Pili style ya maisha pia ina-determine wewe ni rastafari(sio kuvuta bangi)
Ikiwa tunaamini katika Mungu mmoja mwenye majina tofauti wote ni wamoja basi Tupendane,tuwe Wamoja na Aman itawale maisha yetu
 

Maneno ya hekima na mazito sana!

Amani na upendo kwako mkuu
 
Haile selassie was a devote christian and a leader of ethiopia tawaedo Orthodox church. .n alivyoenda jamaica he said to his archbishop abune yesehaq " go to jamaica, ths people dnt understand our culture" he said ths after being praised n being called God. . .that mean he denied he is not God. .then why should rasta pray to him?
 

Alipingwa/anapingwa Yesu itakuwaje asipingwe Haile? Anapingwa/anapingwa Mtume Mohamed itakuwaje asipingwe Haile?
 
Mbona umetaja wa upande mmoja tu umewasahau Nicholas na Matola otherwise give thanks and praise to the most high Jah

Hao niliowataja ndio wanaoongoza kutumia mda mwingi kuzipinga imani za wengine badala ya kueneza imani yao,
 
Hii Imani niNoma nakumbuka Bob marley alikataa kukatwa mguu uliokuwa na Cancer hadi ikapanda mwilini akadanja....

Justine Kalikawe naye alikataa kumeza dawa za Hospital anang'ang'ania michicha na mboga za Majani hadi umauti ukamkuta kwa kuugua... hii Imani ni noma.... ila ni vizuri kuwa na imani kwani huwezi tenda mabaya na upole unawafanya wapate wanawake wa Kizungu kwa Urahisi sana.... mimi nilitaka niwe Rastafarian ila nywele zikakataa kufugika zikanyonyoka zote... na Bangi ndio sijawahi ivuta
 
Alipingwa/anapingwa Yesu itakuwaje asipingwe Haile? Anapingwa/anapingwa Mtume Mohamed itakuwaje asipingwe Haile?

let me sleep tomorow i'l teach you what real rasta is. . .tomorow i'l tel u who lij tafari makonen is. .n all the negus of ithiopia. . .blessd b th same Jah of israel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…