Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
Jibu ni hapana si wote wanatumia japo kisheria wanaruhusiwa..Nisawa na sakramenti kwa wakristu, je wakristu wote hutumia sakramenti kwa ibada zao?
Nilichotaka kujua ni uhalali wake kidini , je ni ruksa kwa sheria ya kiimani au ni masuala binafsi ya waumini tu japo hayaruhusiwi??