Sic March
JF-Expert Member
- Mar 2, 2019
- 690
- 906
Hyo ndo pesa ya kumuachia demu sas hvNaona karibia kila mtu JF anazungumzia 7800/=.
Hivi inamaana gani ?maana naona kama vile ni mimi peke yangu sielewi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo ndo pesa ya kumuachia demu sas hvNaona karibia kila mtu JF anazungumzia 7800/=.
Hivi inamaana gani ?maana naona kama vile ni mimi peke yangu sielewi!
Sio ninyi tu wawili na mimi pia sielewi maana ya 7800Mkuu nadhani tuko wawili ambao hatuelewi..
Mwenye kuelewa atueleze...au kama kuna uzi unazungumzia aweke link hapa
Shukrani mkuu..7800 ipo humu.Samahani kwa nitakaowakera ila lazima nilijibie hili
Kuna uzi mmoja unaelezea jinsi jamaa mmoja wa Dar alivyokimbiwa na Dada mmoja kutoka Mwanza baada ya jamaa huyo kumfosi dada hiyo wagegedane ila dada huyo hakuwa tayari. WADAU. Jamaa anayeelezwa hapo ni mimi kwa 100%. Nikweli nilizoeana na dada mmoja humu jf tukawa mabest sana humu jf mpaka...www.jamiiforums.com
Shukrani mkuu..
Sasa nimeelewa na kucheka sana ...mpaka sasa hivi nina kwikwi sababu ya kucheka..
Jamaa vita ya visu yeye kaenda na mabomu kuharibu kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
7800 ni jumla ya 7000 + 800Naona karibia kila mtu JF anazungumzia 7800/=.
Hivi inamaana gani ?maana naona kama vile ni mimi peke yangu sielewi!
NdioUmesoma habari zote mbili mkuu?
Hata mimi sijaelewa 7800 au mabaharia sijui ninininiMkuu nadhani tuko wawili ambao hatuelewi..
Mwenye kuelewa atueleze...au kama kuna uzi unazungumzia aweke link hapa