Mkuuwanchi
Member
- Dec 16, 2017
- 84
- 68
Ni mbuzi dume ambaye tangu udogo wake huwa hatulii, anafujo, zizi zima hupenda kutawala yeye, kelele mwanzo mwisho, hana utulivu hata kwa mbuzi walo zaa wala watoto.
*Wahenga waliona mbali sana mpaka Maimperialists wakayaita kwa Kiswahili ni MABEBERU.
*Wahenga waliona mbali sana mpaka Maimperialists wakayaita kwa Kiswahili ni MABEBERU.