Maana ya jina Tanganyika: ( Likud Observation)

Maana ya jina Tanganyika: ( Likud Observation)

Tanzania pekee ndo kuna karibia 90% ya wanyama wote waliotoka kweny safina ya nuhu,

Pia ndo sehemu Pekee duniani ambapo kuna mahali unaweza pata hali zote za hewa dunian ambapo ni mlima Kilimanjaro.

Kiswahili ndo Lugha itayofanya Muarabu na mwafrika waabudu pamoja.

Nabii Isaya aliyaona haya miaka maelfu iliyopita ukisoma

Isaya 19:23
Katika siku hiyo itakuwako njia kuu(kiswahili) itokayo Misri na kufika hata Ashuru(Uarabuni); Mwashuri atafika Misri, na Mmisri atafika Ashuru, na Wamisri wataabudu pamoja na Waashuri.

Yapo mengi sana na vikundi vya siri wanajua ila hawataki kusema ili watu waendelee kuwa na utumwa wa kifikra.
100 % Fact
 
Kuweka Tanga.

Where you can drop an Anchor?

Walowezi waliweza kuweka Tanga na kutembelea Nyika? ??
 
mzee wa ka-yumba ni bingwa wa propaganda na kuendeshwa na ego.
 
It is believed by Omans that ;
Tanga= Shamba
Nyika= Wilderness.

That's why for the Omans Tanganyika is Wilderness for Omans through Zanzibaris.
It is their Land with her all.
Na ziwa Tanganyika ni la waarabu? Ina maana milki ya Tanzania ni Ziwa la Washindi tu( Victoria)

Huu uzi ni muendelezo wa propaganda za likud na waislamu.
 
Back
Top Bottom