Kupenda ni kule kuwa na hisia nzito juu ya mtu mwingine,na ktk suala hili ,juu ya mwanamke kama u mwanaume au juu ya mwanaume kama u mwanamke...hisia nzito inamaana kwa namna nzuri,namna njema,si kwa namna ya huzuni...Ukimpenda mtu ww humuwaza,hutaka kumuona,huhisi unamuhitaji sana...Hutaka awe ktk hali nzuri,furaha..na apatapo uchungu wewe pia hupata uchungu
hisia namna hiyo huitwa MAPENZI
reference
MPENZI 2,UK WA 145 PARAGRAPH YA MWISHO KUTOKA CHINI.
Mnasemaja wadau,kipi kipunguzwe na kipi kiongezwe?
Au hiv hiv imetulia?
hisia namna hiyo huitwa MAPENZI
reference
MPENZI 2,UK WA 145 PARAGRAPH YA MWISHO KUTOKA CHINI.
Mnasemaja wadau,kipi kipunguzwe na kipi kiongezwe?
Au hiv hiv imetulia?