Maana ya Mistari ya mikono ya kushoto na kulia, picha na decoding

  • Life line: huu mstari unasimamia afya na uhai. ( Rangi ya Kijani)
  • Heart line: huu mstari unasimamia mapenzi(upendo) na hisia (Rangi ya Pinki)
  • Money line: huu mstari unasimamia kazi na bahati. (rangi ya Zambarau)
  • Head line: huu mstari unasimamia akili. (rangi ya Bluu)
  • Marriage line: maisha ya ndoa na mahusianio. (Rangi ya Nyekundu)[emoji176][emoji818]
 
Hakuna nilichoelewa
* Life line: huu mstari unasimamia afya na uhai. ( Rangi ya Kijani)
  • Heart line: huu mstari unasimamia mapenzi(upendo) na hisia (Rangi ya Pinki)
  • Money line: huu mstari unasimamia kazi na bahati. (rangi ya Zambarau)
  • Head line: huu mstari unasimamia akili. (rangi ya Bluu)
  • Marriage line: maisha ya ndoa na mahusianio. (Rangi ya Nyekundu)
 
Nimeangalia picha zote nankufananisha na kiganja changu ila kuna hata moja iliyokaribia kufanana na kiganja changu so huu uzi ni utopolo tu.
 
Inakuwaje pale mtu hana kazi ya kueleweka,maisha yake analima mbogamboga na Moneyline ndio umejaa kisawasawa,maisha magumu balaa...
 
Sasa mimi mbona sina iyo line ya mapenzi na kweli bado nipo single
 

Masomo ya Wakaldayo wa Babylonian ya Nabuchadnedza. Elimu hii walifunzwa na Wanefili (fallen angels).

Wakaldayo wale pia walikuwa na masomo ya kufundisha kuongea na wafu, kusoma na kutambua nyota (of course ndio waanzilishi wa hii zodiac system tunayoijua Leo). Mambo ya Kupiga Ramli n.k.

Elimu hizi na zinazofanana nazo zilishamiri mno wakati wa Nabuchadnedza maana yeye aliasisi taasisi na vyuo maalum kuendeleza hizi Shughuli.

Swali ni je, elimu hii inatija?


Jibu ni Hapana maana Wafalme waliokuwa wakitumia elimu hizi walifika mahali wakakwama hasa walipopata maono ya kiroho kuhusu tawala zao. Pharao alipopata ndoto kuhusu ng'ombe 7 walionawili na ng'ombe saba wenye njaa aliwaita waganga wake wenye hizi elimu, lakini hawakuweza kumfungulia ndoto yake Ile. Ndoto yake ilijibiwa na mtumwa Joseph mwana wa Jakob aliyesema uwezo wa kutambua mambo ya kiroho upo kwa Mungu pekee.

Nabuchadnedza pia alijipata na maono ya kiroho, akaita waganga wabobezi na maprofesa wa elimu ya Kikaldayo lakini hawakuweza kumfaa. Ilibidi aletwe mkimbizi Daniel ili kutafsiri ndoto husika. Daniel alimwaambia Nabuchadnedza kuwa mwenye kujua maono ya rohoni ni Mungu tu.


Tufanyeje sasa?
Hizi elimu na masomo ya Wakaldayo ni mambo yanatuchelesha kufikia full potential zetu. Tumtafute Mungu, muumba wa mbingu na dunia na vitu vyote vilivyomo. Yeye anajua wapi aliweka nguzo za kuisimamisha dunia kwenye mhimili wake. Yeye anajua atatufungulia vipi mengi yajayo tusiyoyajua.

Mungu na atujalie word of knowledge.
Mungu na atujalie word of wisdom.

If we do this, we will do well!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…