Nina gari ndogo,
katika upande wa air condition ya gari, kuna button mbili,
moja imeandikwa A/C na nyingine Eco A/C,
je kuna yofauti gan kat ya hzo mbili ktk matumizi..
Mkuu hata kwenye fridge kuna freeze na superfreeze. Maana yake ubaridi mkali A/C na ubaridi wastani Eco A/C. Pia kuna vent on and off ambayo zinatumia arrow hewa kutoka nje kuppozwana kuingia ndani ama hewa ya ndani kuchukuliwa kupoozwa kurudishwa ndani(vent off)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.