Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaniii.....kwanini pole na sio hongera.........
kwanini pole na sio hongera.........
Et jaman anaejua maana halis ya neno NDONDWA aniambie, au kama kuna mtu ashalisikia,
hahahaaaa! Dada miss strong Malafyale njoo mpe jibu kijana....... Inamaana ya nyota kwa kinyakyusa lakn
it means umelalwa yani wamekugonga ,pole sana mkuu ilkuwaje kwani??
Nime comment kwanza ndo nikaona wito wako....mzima ndugu yangu???
Kila nen lina mikoa yake yake ya kulisema
wew upo mkoa gan inawezkna ni lahaja fulan?
Jamaniii.....
ndi nkafu bhule bhule utwambombo