Maana ya neno Kaunti

Maana ya neno Kaunti

Kichankuli

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2008
Posts
887
Reaction score
190
Wenye kufahamu maana ya neno Kaunti ambalo linatumika sana nchini kenya mnijuzi tafadhal
 
sometimes unasearch unapata bila kusumbua!

county
ˈkaʊnti/
noun
noun: county; plural noun: counties
a territorial division of some countries, forming the chief unit of local administration.
Kaunti siyo county
 
kaunt ni kubwa kuliko jimbo yani n mfano kama kanda may be ya kaskazini inayo chukua baadh ya mikoa
 
Wenye kufahamu maana ya neno Kaunti ambalo linatumika sana nchini kenya mnijuzi tafadhal
Nimejaribu nami kuelewa hizi kaunti zinatofautianaje na mikoa, province etc. see link below

Kenya is divided into 47 semi-autonomous counties that are headed by governors who were elected in the first general election under the new constitution in March 2013.

Tell your friends






These 47 counties now form the first-order divisions of the country. Under the old constitution, Kenya comprised eight provinces each headed by a Provincial Commissioner (centrally appointed by the president). The provinces (mkoa singular, mikoa plural in Swahili) were subdivided into districts (wilaya).

Constituencies are an electoral subdivision, with each county comprising a whole number of constituencies. An Interim Boundaries commission was formed in year 2010 to review the constituencies and in its report, it recommended creation of an additional 80 constituencies. Previous to the 2013 elections, there were 210 constituencies in Kenya.

Before the new constitution of Kenya that came into force in 2013, Kenya was divided into eight provinces (see map). The provinces were subdivided into 46 districts (excluding Nairobi) which were further subdivided into 262 divisions. The divisions were subdivided into 2,427 locations and then 6,612 sublocations. A province was administered by a Provincial Commissioner (PC).

Kenyan local authorities mostly do not follow common boundaries with divisions. They are classified as City, Municipality, Town or County councils.

A third discrete type of classification are electoral constituencies. They are electoral areas without administrative functions, and are further subdivided into wards.

Since the new constitution came into force in 2013, Kenya's provinces have been eliminated and replaced by a system of counties.

Former Provinces

1.Central
2.Coast
3.Eastern
4.Nairobi
5.North Eastern
6.Nyanza
7.Rift Valley
8.Western

angalia link hii kuona tofauti kati ya kaunti na province.
Kenya: Administrative Division (Provinces and Counties) - Population Statistics, Charts and Map
 
Sio Jimbo, jimbo ni Province na ni kubwa kuliko hiyo County

Province ni neno lililozoeleka hasa huku kwetu tanzania mkuu, county nayo inawakilisha jimbo kwa wenzetu wa Kenya na ndio maana kuna wabunge wa hizo county kama walivyo wabunge wa majimbo kwa upande wa tanzania, ni kitu kilekile, sema wao wakenya wamezoea kutumia county kuliko province
 
Province ni neno lililozoeleka hasa huku kwetu tanzania mkuu, county nayo inawakilisha jimbo kwa wenzetu wa Kenya na ndio maana kuna wabunge wa hizo county kama walivyo wabunge wa majimbo kwa upande wa tanzania, ni kitu kilekile, sema wao wakenya wamezoea kutumia county kuliko province

Ni kweli ni kama maneno yenye maana moja, lakini ukiangalia kiundani bado unaona Province ni kubwa kuliko count, Provinces zinakimbilia kwenye states, na hata ukiangalia kwa Kenya utaona wana Province na pia wana Count
 
Kaunti siyo county
Si vile, Kaunti ndiyo namna ya Kikenya ya kuandika "county". (linganisha katiba na sheria za Kenya)

Sasa "county" ni kitengo cha chini cha utawala katika nchi zinazotumia lugha ya Kiingereza.

Asili yake ni cheo cha zamani ya ukabaila ambako ilikuwa eneo la "count". Count inatokana na cheo cha Kilatini "Comes (uwingi comites)". Zamani za Dola la Roma hii ilikuwa cheo cha afisa aliyeteuliwa na mtawala mwenyewe. Baada ya mwisho wa Dola la Roma (ambako mataifa mapya bado walitumia lugha ya Kilatini kwa habari na hati za kimaandishi) "Comes" alikuwa chifu au mkabaila fulani aliyepewa usamamizi kuhusu wenzake katika eneo fulani alipomwakilisha mfalme.

Katika Kilatini cha Ufaransa "Comes/comites" iliendelea kuwa "Comte" na cheo hiki kilifikishwa pia Uingereza pamoja uvamizi wa Wanormandi mwaka 1066.

Hapa "Comes / Comte" na eneo aliyokabidhiwa "Comitas" ilizaa eneo la "county" kama eneo la utawala wa nchi la ngazi ya chini zaidi.

Waingereza walipeleka baadaye lugha yao pamoja na "county" pande mbalimbali za dunia hivyo ikafika pia Kenya.
 
ni wilaya mkuu
Si vile mkuu. Kenya ilikuwa na mikoa 8 na mwishoni na wilaya 254. Sasa ni kaunti 47. Hata kama ni kweli ya kwamba mara nyingi wilaya zilibadilishwa tu kuwa kaunti madaraka ni tofauti sana.

Wilaya zilikuwa kitengo cha serikali kuu (mkuu wa wilaya = afisa ya rais). Sasa ni eneo la kujitawala pamoja na bunge la pekee na mkuu (=gavana) aliyechaguliwa na wananchi.

Hapo sababu walibadilisha pia jina kwa kuonyesha si wilaya tena.
 
Province ni neno lililozoeleka hasa huku kwetu tanzania mkuu, county nayo inawakilisha jimbo kwa wenzetu wa Kenya na ndio maana kuna wabunge wa hizo county kama walivyo wabunge wa majimbo kwa upande wa tanzania, ni kitu kilekile, sema wao wakenya wamezoea kutumia county kuliko province
kashafundishwa hivyo mchikichini so akili imedumaa itachukua karne 3 kuja kukuelewa
 
Back
Top Bottom