moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Wakuu..
Baada ya mapambano ya maneno wiki iliyopita kuna upande mmoja dudubaya a.k.a Konkie anawatuhumu watu flani kuwa na mashoga na ukaibuka upande mwingine pia ukimtuhumu dudubaya kuwa ni shoga pia.
Sababu sisi ni great thinkers, tukafanya Utafiti wa jina lake la utani ambalo ni Konkie... Ukiangalia kwenye dictionary ya kingereza linaandikwa "conkie" lakini sounding ya jina lake kwa Kiswahili na kingereza ni moja.
Kifupi maana ya neno Konkie kwenye dictionary ya kingereza inasadifu" tuhuma zote ambazo dudubaya anatuhumiwa kwenye ishu nzima ya ushoga.
Inawezekana kabisa dudubaya alitumia jina Konkie miaka hiyo kama nickname basing on attitude and behavior Zake (tabia na mienendo yake) kwa wakati huo.
Na naamini kabisa dudubaya anajua maana ya neno Konkie ndo mana anajiita mpaka Leo...
Nitarudi.
Baada ya mapambano ya maneno wiki iliyopita kuna upande mmoja dudubaya a.k.a Konkie anawatuhumu watu flani kuwa na mashoga na ukaibuka upande mwingine pia ukimtuhumu dudubaya kuwa ni shoga pia.
Sababu sisi ni great thinkers, tukafanya Utafiti wa jina lake la utani ambalo ni Konkie... Ukiangalia kwenye dictionary ya kingereza linaandikwa "conkie" lakini sounding ya jina lake kwa Kiswahili na kingereza ni moja.
Kifupi maana ya neno Konkie kwenye dictionary ya kingereza inasadifu" tuhuma zote ambazo dudubaya anatuhumiwa kwenye ishu nzima ya ushoga.
Inawezekana kabisa dudubaya alitumia jina Konkie miaka hiyo kama nickname basing on attitude and behavior Zake (tabia na mienendo yake) kwa wakati huo.
Na naamini kabisa dudubaya anajua maana ya neno Konkie ndo mana anajiita mpaka Leo...
Nitarudi.