Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Tafadhali naomba wajuzi wa lugha yetu adhimu ya Kiswahili, wanipe maana za maneno haya ya Kiswahili, ikiambatana na mifano.
1. Utani
2. Mizaha
3. Masihara
1. Utani
2. Mizaha
3. Masihara