Maanake nini

Maanake nini

kwenye blue kunaonyesha jinsi unavyomboa mumeo mpaka anaamua kwenda kupumzisha mawazo baada ya hiyo kazi yenu hapo kwenye red

Jaribu kuwa na maneno ya busara kidogo. Hiyo message tu unapumbambika kiasi hiki je ungewakuta live ungefanyaje?
moz-screenshot.jpg

mweeeh!
 
he he he....wewe ukikuta msg kama hiyo hutaielewa? au hata kama hujui kusoma picha hutaielewa? mimi simu yangu hashiki mtu wallah nakwambia
Ningependa sana kupata mtu kama wewe.......
 
kwenye blue kunaonyesha jinsi unavyomboa mumeo mpaka anaamua kwenda kupumzisha mawazo baada ya hiyo kazi yenu hapo kwenye red

Jaribu kuwa na maneno ya busara kidogo. Hiyo message tu unapumbambika kiasi hiki je ungewakuta live ungefanyaje?
B]


Kwani Makonyo unamfahamu 4x4byfar? Maana naona umemjibu kama ndiyo wewe vile?

Anyways, hapo red sijpaelewa vizuri!
 
Asante dear, maana nilifikiria hivyo pia. Tena basi kinachonifurahisha ni kuwa baada ya kumjibu yangu (kuwa asiwe na wasiwasi msg nimeiona na waeendelee tuu na mambo yao mimi sina noma yoyote...) acha mwan´dada anikurupukie na maneno, ooh, msg ilikuwa inaenda kwengine sio kwa mme wangu, mara sijui mme wangu sio type yake, yeye ni mtu high class, nikitaka kumjua vizuri niulize watu, mara angelikuwa anamtaka nisingekuwa nimekanyaga ulaya...too much rubbish. Nilichomwambia ni Thanks for the information tuu. Nikweli mme wangu anajigonga sana kwa huyu mama (maana ni mzee kweli tumepishana kama 15 years) ili nimuone mkali, siunaelewa tena. Anyway thanks for the advice.

Wakati unaoana naye hukujua kama ni ''mzee''? Au ndiyo ulikubali kuolewa ili uende Ulaya? Nina maswali mengi kuliko majibu. Yaelekea huko Ulaya ukipata ''kijana'' mwenzio huchelewi kummwanga ''mzee'' wa watu.
 
1.tuliza akili yako,acha wivu wewe si hawara ni MKE.
2.Cheo na hadhi yako ni kubwa kuliko huyo bibie,
3.Usijidanganye,umri unanafasi ndogo sana kwenye mapenzi ujana si hoja
4.Timiza wajibu wako ktk ndoa,zidisha mapenzi.
5.Tumia akili kuilinda ndoa yako,hasira,ukali ogomvi havisaidii usipoangalia UTAACHWA kwenye mataa muda si mrefu.
6.Kama huna KIFUA,basi acha kumfuatilia mumeo pamoja na kupekua meseji zake.
 
umeniaacha hoi

kwenye blue kunaonyesha jinsi unavyomboa mumeo mpaka anaamua kwenda kupumzisha mawazo baada ya hiyo kazi yenu hapo kwenye red

Jaribu kuwa na maneno ya busara kidogo. Hiyo message tu unapumbambika kiasi hiki je ungewakuta live ungefanyaje?
moz-screenshot.jpg
 
kwenye blue kunaonyesha jinsi unavyomboa mumeo mpaka anaamua kwenda kupumzisha mawazo baada ya hiyo kazi yenu hapo kwenye red

Jaribu kuwa na maneno ya busara kidogo. Hiyo message tu unapumbambika kiasi hiki je ungewakuta live ungefanyaje?
moz-screenshot.jpg

Asante dear,
Ila nadhani huwa mara nyingi ukweli huuma. Pole kama ntakuwa nimekugusa, au ndo wewe :angry:! lol
 
Wakati unaoana naye hukujua kama ni ''mzee''? Au ndiyo ulikubali kuolewa ili uende Ulaya? Nina maswali mengi kuliko majibu. Yaelekea huko Ulaya ukipata ''kijana'' mwenzio huchelewi kummwanga ''mzee'' wa watu.

Mwenzangu, nilidhani wazee wametulia kumbe ndo kwanza...inabidi kwa kweli nitafute kijana kwa sasa twendenae sambamba. lol!
 
Mwenzangu, nilidhani wazee wametulia kumbe ndo kwanza...inabidi kwa kweli nitafute kijana kwa sasa twendenae sambamba. lol!

mwanzo wa kupotea ndo unaanzia hapa! Usipofanya maamuzi ya busara hapa wewe kama dereva garilako linaelekea kupinduka!
 
kwenye blue kunaonyesha jinsi unavyomboa mumeo mpaka anaamua kwenda kupumzisha mawazo baada ya hiyo kazi yenu hapo kwenye red

Jaribu kuwa na maneno ya busara kidogo. Hiyo message tu unapumbambika kiasi hiki je ungewakuta live ungefanyaje?
moz-screenshot.jpg
Jaribu kuwa mvumilivu na umuombe Mungu sana ndio msimamizi wa ndoa, usibabaike na huyo mama mumeo ni mumeo tu ndiyo mana kakuona na kukuweka ndani, so do not worry!
 
hiyo ni msg imetumwa nite kali (na mume) kwa mtu then mtu akarudisha majibu hayo ikiwa na maana kuwa mchana mzima alimchunia bila kumtumia msg ndio kamtumia msg usiku huo...pole lakini ukweli ndio huo japo unauma....usipende kusoma msg za mwenzio utakufa siku si zako

Gosh watu ni wataalam nilikuwa sijaambua kitu
 
wasikutishe...hizo ni kelele za chura hana lolote....ukiona mtu anakujibu majibu mengi kwa swali ambalo hujamuuliza ujue kaangukia pua hana chochote
Mh Preta una maneno utafikiri konda wa daladala!! Umenifurahisha sana mydia
 
Back
Top Bottom