Maandalizi ya AFCON: serikali iwafidie CCM, ikichukue kiwanja cha CCM kirumba, ikijenge kwa viwango vya kisasa, kitumike kwa mashindano

Maandalizi ya AFCON: serikali iwafidie CCM, ikichukue kiwanja cha CCM kirumba, ikijenge kwa viwango vya kisasa, kitumike kwa mashindano

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nashauri kiwanja hiki kitwaliwe na serikali, CCM wafidiwe, halafu kijengwe kiwanja cha kisasa pale.

Hii itaendana na hadhi ya jiji la Mwanza.

Kwa.sasa kiwanja hiki hata CCM hakiwapi faida yoyote ile.
 
Kwani Mwanza lini imechaguliwa kama "host city"?
 
Viwanja vyote na mali ikiwamo majengo, viwanja n.k. ambavyo CCM ilikua 'inamiliki' kabla la mfumo wa vyama vingi virudishwe serikalini sababu vilijengwa kwa tozo na michango ambayo wananchi walitoa watake wasitake ilikua lazima wakupate utoe.
 
Nashauri kiwanja hiki kitwaliwe na serikali, CCM wafidiwe, halafu kijengwe kiwanja cha kisasa pale.

Hii itaendana na hadhi ya jiji la Mwanza.

Kwa.sasa kiwanja hiki hata CCM hakiwapi faida yoyote ile
Viwanja vyote ni mali ya serikali wasitake kutuambia kabla ya uhuru Tanzania ilikuwa na kiwanja cha Ilala na cha (Taifa)Uhuru, CCM wanatabia ya uporaji ndicho walichotufanyia Tanzania kuiba viwanja vya michezo.
 
Viwanja vyote ni mali ya serikali wasitake kutuambia kabla ya uhuru Tanzania ilikuwa na kiwanja cha Ilala na cha (Taifa)Uhuru, CCM wanatabia ya uporaji ndicho walichotufanyia Tanzania kuiba viwanja vya michezo.
Hicjo ni kiwanja cha CCM kirumba, huelewi nini?
 
Bora kijengwe kiwanja kipya kabsaa from the scratch......hii ya mali ya mtuu kubadilishwa jina si afiki kabsaaa
 
Nashauri kiwanja hiki kitwaliwe na serikali, CCM wafidiwe, halafu kijengwe kiwanja cha kisasa pale.

Hii itaendana na hadhi ya jiji la Mwanza.

Kwa.sasa kiwanja hiki hata CCM hakiwapi faida yoyote ile.
Ikikodi kwa muda maalumu kuna ubaya?,wakakijenga
 
Nashauri kiwanja hiki kitwaliwe na serikali, CCM wafidiwe, halafu kijengwe kiwanja cha kisasa pale.

Hii itaendana na hadhi ya jiji la Mwanza.

Kwa.sasa kiwanja hiki hata CCM hakiwapi faida yoyote ile.
Kwani huo uwanja ni WA ccm?
 
Hicjo ni kiwanja cha CCM kirumba, huelewi nini?
CCM haijawahi kujenga kiwanja hata kimoja, viwanja vilijengwa na serikali ikishirikiana na wananchi ambao hawakua mali ya CCM. Tulipoingia mfumo wa vyama vingi CCM ilichokifanya ni chukua chako mapema ndipo ilichukua viwanja vyote mikoani pamoja na ndege ya rais iliyosajiriwa kwa CCM 1, hata hivyo walishindwa kulipa gharama za marubani na maegesho ya kila siku wakalazimika kuirudisha serikalini.
 
CCM haijawahi kujenga kiwanja hata kimoja, viwanja vilijengwa na serikali ikishirikiana na wananchi ambao hawakua mali ya CCM. Tulipoingia mfumo wa vyama vingi CCM ilichokifanya ni chukua chako mapema ndipo ilichukua viwanja vyote mikoani pamoja na ndege ya rais iliyosajiriwa kwa CCM 1, hata hivyo walishindwa kulipa gharama za marubani na maegesho ya kila siku wakalazimika kuirudisha serikalini.
Narudia tena, hati ya kiwanja inasomeka CCM
 
Back
Top Bottom