Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Namimi ninakuambia wanaotapeli viwanja vya watu nao wanazo hati zinazosomeka majina yao.Narudia tena, hati ya kiwanja inasomeka CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namimi ninakuambia wanaotapeli viwanja vya watu nao wanazo hati zinazosomeka majina yao.Narudia tena, hati ya kiwanja inasomeka CCM
Hakuna mji wowote ambao CAF wameupendekeza kuwa host city! wao wamesema ni Kenya,Uganda na Tanzania.Kwani Mwanza lini imechaguliwa kama "host city"?
Gharama za fidia ziwe hatua Kwa hatuaNashauri kiwanja hiki kitwaliwe na serikali, CCM wafidiwe, halafu kijengwe kiwanja cha kisasa pale.
Hii itaendana na hadhi ya jiji la Mwanza.
Kwa.sasa kiwanja hiki hata CCM hakiwapi faida yoyote ile.