Maandalizi ya Kesi ya Wazalendo dhidi ya Mkataba wa Bandari na DP WORLD yakamilika, Maelfu ya Wananchi wajipanga kuhudhuria

Maandalizi ya Kesi ya Wazalendo dhidi ya Mkataba wa Bandari na DP WORLD yakamilika, Maelfu ya Wananchi wajipanga kuhudhuria

Ile kesi inayosubiriwa kwa hamu na Dunia nzima, ambayo imefunguliwa na Watanzania Wazalendo , ya kupinga Mkataba mbovu wa kukodisha Bandari za Tanganyika kwa Waarabu wa DP WORLD , ambayo imepangwa kuanza kusikilizwa kesho 20/07/2023 , Maandalizi yake yamekamilika .

Wananchi wa Tanganyika na hasa wakazi wa Jiji la Mbeya na vitongoji vyake wamejitokeza kwa wingi kujiandaa na misafara ya kuelekea Mahakamani , kama mambo yataenda sawa Kyela zitatoka Gari 4 aina ya Coaster , moja itatoka Katumbasongwe , moja itaanzia Boda , Moja itaanzia matema na nyingine itaanzia Kyela Mjini Stendi .

View attachment 2693194
Uzalendo wao unapimikaje
 
Ile kesi inayosubiriwa kwa hamu na Dunia nzima, ambayo imefunguliwa na Watanzania Wazalendo , ya kupinga Mkataba mbovu wa kukodisha Bandari za Tanganyika kwa Waarabu wa DP WORLD , ambayo imepangwa kuanza kusikilizwa kesho 20/07/2023 , Maandalizi yake yamekamilika .

Wananchi wa Tanganyika na hasa wakazi wa Jiji la Mbeya na vitongoji vyake wamejitokeza kwa wingi kujiandaa na misafara ya kuelekea Mahakamani , kama mambo yataenda sawa Kyela zitatoka Gari 4 aina ya Coaster , moja itatoka Katumbasongwe , moja itaanzia Boda , Moja itaanzia matema na nyingine itaanzia Kyela Mjini Stendi .

View attachment 2693194
Siku moja wengi wataning'iniza vichwa vyao kwa aibu watakapogundua uovu walioutetea na mashujaa waliowakejeli.Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile kesi inayosubiriwa kwa hamu na Dunia nzima, ambayo imefunguliwa na Watanzania Wazalendo , ya kupinga Mkataba mbovu wa kukodisha Bandari za Tanganyika kwa Waarabu wa DP WORLD , ambayo imepangwa kuanza kusikilizwa kesho 20/07/2023 , Maandalizi yake yamekamilika .

Wananchi wa Tanganyika na hasa wakazi wa Jiji la Mbeya na vitongoji vyake wamejitokeza kwa wingi kujiandaa na misafara ya kuelekea Mahakamani , kama mambo yataenda sawa Kyela zitatoka Gari 4 aina ya Coaster , moja itatoka Katumbasongwe , moja itaanzia Boda , Moja itaanzia matema na nyingine itaanzia Kyela Mjini Stendi .

View attachment 2693194
Wasiwasi wangu, CCM watawapigia majaji simu na kuwapa maelekezo. Wazalendo watabambikiwa kesi na akina Kingai, Takukuru TRA nao wanasubiri maelekezo. Under CCM Kiza bado ni kirefu.
 
Wasiwasi wangu, CCM watawapigia majaji simu na kuwapa maelekezo. Wazalendo watabambikiwa kesi na akina Kingai, Takukuru TRA nao wanasubiri maelekezo. Under CCM Kiza bado ni kirefu.
Siku moja wengi wataning'iniza vichwa vyao kwa aibu watakapogundua uovu walioutetea na mashujaa waliowakejeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimekuja MBEYa sshv nipo vamponji bar kila asubuhi nitakuwa nakwenda kusikiliza kesi
Oh kesho nitakuwa hapo Ilomba, nikipata muda nitakuja tupate moja mbili tatu pamoja na kupeana updates mbili tatu kuhusiana na swala letu hili.
#KATAA UUZAJI WA RASILIMALI ZETU
#TANGANYIKA KWANZA
 
Back
Top Bottom